Nataka nianze kubeti

Nataka nianze kubeti

Wakuu Habari za Uzima,

Baada ya kutafuta kazi na kukosa, na Zingine nikipata wananikataa Wakishajua nina Usikivu Hafifu "Hearing Loss " Basi Nimeamua Kuingia kwenye BETTING, Kuna Hela nimepata hapa Elfu10 ndo nataka nianze Nayo, Niwe Natafuta Odds 3 za Uhakika Hata mara 3 kwa wiki sio Mbaya... Naombeni Mawazo Yenu Ndugu Zangu.
Mkuu kutokusikia vizuri sio kigezo, ata Mimi Nina holo tatizo na nadeal na ufundi umeme na madishi pamoja na ufungaji wa cctv camera na security alarm,

Ww fani yako Nini mkuu?
 
Wakuu Habari za Uzima,

Baada ya kutafuta kazi na kukosa, na Zingine nikipata wananikataa Wakishajua nina Usikivu Hafifu "Hearing Loss " Basi Nimeamua Kuingia kwenye BETTING, Kuna Hela nimepata hapa Elfu10 ndo nataka nianze Nayo, Niwe Natafuta Odds 3 za Uhakika Hata mara 3 kwa wiki sio Mbaya... Naombeni Mawazo Yenu Ndugu Zangu.
Nenda kaandamane
 
Back
Top Bottom