AHMARDZ
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 790
- 678
Habari,
Mimi ni mwajiriwa kwenye company fulani ya muhindi na kipato changu ni Tsh si chini ya 500,000/=(take home)
Nataka kukopa mojawapo ya gari hizi suzuki jimny wide au escudo ile ya zamani. Naomba ushauri kama kuna sehemu naweza kupata mkopo wa aina hiyo(achilia mbali kukopa fedha taslimu kutoka bank)
Msaada jamani nashida na usafiri.
Nimejaribu bank zote kukopesha wanata mshahara upite kwenye bank zao while mie bank yangu exim ila muhindi akubali mshahara utoke nje ya exim, na exim wana leta pozi mimi kupata bank kwakua awaelewani ki maandiko yani mwajiri ataki kudhamini mfanya kazi yoyote ila mengine yuko tayari while bank awa kubali.
Ushauri jamani, na budget 4,000,000 ya kununua gari. Au kama kuna mtu anakopesha gari niwe na mpa kila mwisho wa mwezi tuna kubaliana hadi namaliza deni ana nipa card ya gari.
SITAKI MATUSI WALA UJINGA karibu tu discuss
Mimi ni mwajiriwa kwenye company fulani ya muhindi na kipato changu ni Tsh si chini ya 500,000/=(take home)
Nataka kukopa mojawapo ya gari hizi suzuki jimny wide au escudo ile ya zamani. Naomba ushauri kama kuna sehemu naweza kupata mkopo wa aina hiyo(achilia mbali kukopa fedha taslimu kutoka bank)
Msaada jamani nashida na usafiri.
Nimejaribu bank zote kukopesha wanata mshahara upite kwenye bank zao while mie bank yangu exim ila muhindi akubali mshahara utoke nje ya exim, na exim wana leta pozi mimi kupata bank kwakua awaelewani ki maandiko yani mwajiri ataki kudhamini mfanya kazi yoyote ila mengine yuko tayari while bank awa kubali.
Ushauri jamani, na budget 4,000,000 ya kununua gari. Au kama kuna mtu anakopesha gari niwe na mpa kila mwisho wa mwezi tuna kubaliana hadi namaliza deni ana nipa card ya gari.
SITAKI MATUSI WALA UJINGA karibu tu discuss