Madam vivian original
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 503
- 990
Wakuu habar za weekend,
Ndugu yenu nimejichanga nataka na mimi nimiliki gari na hii ndo mara yangu ya kwanza kumiliki usafiri.
Nimeona kabla sijafanya maamuzi nije kwenu wakuu mnishauri mawili matatu, bajeti yangu ni m16 na gari niitakayo au niipendayo ni Nissan dualis, au Suzuki escudo.
Naombeni ushauri juu ya hz gari mbili changamoto zake, na kama mngenisaidia kampuni nzuri ya kuagiza gari au hii pesa yangu naweza pata gari gani ukiacha IST.
Msaada wenu wakuu nisije nikaingizwa mjini jamani.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Ndugu yenu nimejichanga nataka na mimi nimiliki gari na hii ndo mara yangu ya kwanza kumiliki usafiri.
Nimeona kabla sijafanya maamuzi nije kwenu wakuu mnishauri mawili matatu, bajeti yangu ni m16 na gari niitakayo au niipendayo ni Nissan dualis, au Suzuki escudo.
Naombeni ushauri juu ya hz gari mbili changamoto zake, na kama mngenisaidia kampuni nzuri ya kuagiza gari au hii pesa yangu naweza pata gari gani ukiacha IST.
Msaada wenu wakuu nisije nikaingizwa mjini jamani.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app