Bonobo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 364
- 670
Mkuu, mi sitakuwa mdhamin wako ila ntakufundisha njia nyingine ya kupata hilo gar unalolitaka.
Tuanzie hapa, una miaka 2 na miez 7 kazin halafu huna mtu wa kukudhamin ukope hta mil 4? Dah.. kwangu mimi naona huo ni msiba mzito.
Hapo kazin unapoteza mda mkuu, mi naamin hyo hasira yako ya kutafuta wadhamin wa kukopa gar, ungeihamishia mtaani kwenye ujasiriamali, sahiv ungekuwa unaulizia "hivi kati ya prado tx na land cruiser vx ipi nzuri?"
Mkuu nakushauri kata kambaa, achana na kukimbiza ndoto za watu nenda kapigane mtaani, sihitaji kujua elimu yako, maana mtaani kinahitajika kiu tuu kama yako na sio elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuanzie hapa, una miaka 2 na miez 7 kazin halafu huna mtu wa kukudhamin ukope hta mil 4? Dah.. kwangu mimi naona huo ni msiba mzito.
Hapo kazin unapoteza mda mkuu, mi naamin hyo hasira yako ya kutafuta wadhamin wa kukopa gar, ungeihamishia mtaani kwenye ujasiriamali, sahiv ungekuwa unaulizia "hivi kati ya prado tx na land cruiser vx ipi nzuri?"
Mkuu nakushauri kata kambaa, achana na kukimbiza ndoto za watu nenda kapigane mtaani, sihitaji kujua elimu yako, maana mtaani kinahitajika kiu tuu kama yako na sio elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
