AHMARDZ
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 790
- 678
- Thread starter
- #81
WADAU: ASANTENI SAANA kwa mawazo yenu na ushauri wenu mzuri, nataka kuwapa mrejesho kidogo ni kwamba nimepata usafiri aina ya corolla E110 msio lijua hilo gari mna weza ku google. hilo gari nilipata nilivyo enda kumsalimu mkee wangu babu yake, ana hio gari ameli park uwani lime tegwa ju ya mawe yani kwa mtazamo halifai, basi kwenye story nikaropoka babu kwanini usi niuzie hilo gari maana usafiri shida na mie na pata shida na usafiri kutoka na familia etc...kanitamkia nipe 1.5m siku sita basi nikawa na mpa hela kumbe huku babu ana tengeneza gari mfano kalipiga rangi yani service ya kawaida kwa ufupi gari imependeza na watu walikuja kutaka kuinunua 4,000,000 babu kagoma kuuza na juzi kani kabidhi gari, yani kwa ufupi gari kanipa sio kaniuzia asa na waza zawadi gani ya kutoa huyu mzee. so asaivi niko usafiri