kaka njia ya pili imeshindikana nimepigana mwajiri hataki kumdhamini mfanyakazi yoyote yani hataki kua garantor ila vingine atafanya yuko tayari ndo nakwamia hapo bank yangu ni exim, ya tatu sina uwezo wakulipia asilimia 80%. hio inakua sawa nakununua starlet. ya kwanza inataka kunana na yapili issue kudhamini. nne hakuna sehemu nakopa alafu na lipa kidogo kidogo, hata wanasheria tutaweka naweka na standing order kutoka bank yani ikingia hela moja kwa moja inaingia uko kwa wakopeshajiNjia rahisi 3 1/mwajili wako anakudhamini, anakukopea gari , 2/ unapelaka payslip na mkataba na barua ya mwajili bank unakopa fungu ,3 Kuna agent wana deal na kuuza magari , unapeleka vielelezo vyako unalipia 80% afu utadaiwa 20 % ili upewe kadi , ukitaka hao agents tutaonana ,
Sent using Jamii Forums mobile app
umelenga mule muleGari ni muhimu full stop.Liwalo na liwe linunue tu siku hela ya service hakuna lipark home mambo yakikaa poa linarudi barabarani tena.
All the best kwenye kukamilisha ndoto yako boss.
In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
boss hapo zamani walikua wanafanya ku dhamini mfanya kazi asa wengine wakaja kuzingua wanaacha kazi so company ikasema kwanzia sasa nakuandelea atu dhamini mtu ila kama unataka tafuta staff mwenzako mdhainiane basi. job security ipo kaka. na 2years n 7months sasa wenzangu wana zaidi ya miaka saba hapa job.Ukiona mwajiri anaogopa kudhamini wafanyakazi wake kama una akili timamu unatakiwa uwe umejiuliza maswali mengi sana zaidi ya kuwazia gari.
1.Inaonesha hauna job security kwa maana muda wowote anaweza kukupiga chini
2.Utendaji wako kazini bado haujamridhisha akuamini.
3.-------------
Wengine wataongezea
poa mkuu sina jinsi inavyo nekana mambo tightKama mwajiri wako akupi ushirikiano , wakukudhamini , njia nyingine hizo ni risk na zita kupa stress, maaana ukikopa kuna bakubaliano na timelimit yakulipa usipo timizi , gari litachukuliwa na hyo 80% haturudishagi , jaribu means ya kufanya saving ili ukope mkopo mdogo ambao utaweza lipia ndani ya miazw kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajaajiriwa, ni kibarua wa mhindi!Ukiona mwajiri anaogopa kudhamini wafanyakazi wake kama una akili timamu unatakiwa uwe umejiuliza maswali mengi sana zaidi ya kuwazia gari.
1.Inaonesha hauna job security kwa maana muda wowote anaweza kukupiga chini
2.Utendaji wako kazini bado haujamridhisha akuamini.
3.-------------
Wengine wataongezea
Hebu uwe unajibu ulichoulizwa mkuuLaki 5 ukikatwa deni kulipia mkopo ukabaki na laki 3 utaweza vipi kulipia mafuta na Services ya gari na kujikimu wewe mwenyewe??
Gari sio kwa kila mtu Mkuu