Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,978
- 15,534
Utatapeliwa wewe acha ujinga kwani hauna watu unaowajua kwa sura mpaka uje humu? 😂😂😂Sio kama sijui mikoa inatofautiana misimu na ndo maana nikataka kujua kwanza
Utatapeliwa wewe acha ujinga kwani hauna watu unaowajua kwa sura mpaka uje humu? 😂😂😂Sio kama sijui mikoa inatofautiana misimu na ndo maana nikataka kujua kwanza
Hapo mombasa frem ni shilingi ngapi kwa mwezi?Habarii natak mwaka huu niingie mwenyewe chaka kwenda kufunga mzigo wa mchele na kuja nao hapa dar
Naombeni muongozo wenu fremu ninayo mombasa ipo sehem yeny mzunguko mkubwa wa watu pia ni karib na lami ko wateja sina ila kutokana na location naamin sitahangaika sana kutafuta wateja wa kuanza nao.
Pili hii biashara ndo mala yang ya kwanz ko naomba kujua mkoa upi na chaka lipi linatoa mchele safi
Na jinsi gani naweza kugundua mchele safi yan kiufupi vitu vya kuzingatia unaponunua mchele huko vijijin
Pia kingine faida mfano nikichuka tani mbili faida inaweza kurange vp nikija kuuza na itachukua mda ganii
Wana jf naombeni msaada wenu sana lengo ni kujikomboa na umaskini
Mbarali nasikia msimu ndio unaanza.Mi nataka mwongoz nasiwez mfata mtu pm nimeomba ushauri mwnye nia ya kutoa atatoa hapa kwa ajili ya wote
Saw mkuu nimekuelewaMmeshajazana huko kuwa fursa ya kufuata mchele mashambani ina lipa,na ww bila reseach unataka uingie kichwa kichwa,relax mkuu.Fanya tafiti taratibu ikiwezekana kaweke Kambi mbalali hukooo hata wiki 2,ila kuongea tu ni uongo
Tumeshaanza kuvuna ila hatuuzii mashambani. Mashineni gunia sasa hivi tunauza 75k!Habarii natak mwaka huu niingie mwenyewe chaka kwenda kufunga mzigo wa mchele na kuja nao hapa dar
Naombeni muongozo wenu fremu ninayo mombasa ipo sehem yeny mzunguko mkubwa wa watu pia ni karib na lami ko wateja sina ila kutokana na location naamin sitahangaika sana kutafuta wateja wa kuanza nao.
Pili hii biashara ndo mala yang ya kwanz ko naomba kujua mkoa upi na chaka lipi linatoa mchele safi
Na jinsi gani naweza kugundua mchele safi yan kiufupi vitu vya kuzingatia unaponunua mchele huko vijijin
Pia kingine faida mfano nikichuka tani mbili faida inaweza kurange vp nikija kuuza na itachukua mda ganii
Wana jf naombeni msaada wenu sana lengo ni kujikomboa na umaskini
Shinyanga moja hiyo mkuu. Mwaka huu akina ngosha wamepata mpunga ni hatari. Mwezi wa 6 ndiyo itakuwa balaa kabisaMkoa gani kk upo
Huku hakuna rumbesa, ni debe 6 tu mkuu!Na ni gunia la debe ngapi