Nataka kuwah msimu wa mchele mashambani hivi ni mwezi wa ngapi mavuno yanachanganya na mchele mashambani hupatikana kwa bei rahisi

Mi nataka mwongoz nasiwez mfata mtu pm nimeomba ushauri mwnye nia ya kutoa atatoa hapa kwa ajili ya wote
 
Habarii natak mwaka huu niingie mwenyewe chaka kwenda kufunga mzigo wa mchele na kuja nao hapa dar

Naombeni muongozo wenu fremu ninayo mombasa ipo sehem yeny mzunguko mkubwa wa watu pia ni karib na lami ko wateja sina ila kutokana na location naamin sitahangaika sana kutafuta wateja wa kuanza nao.

Pili hii biashara ndo mala yang ya kwanz ko naomba kujua mkoa upi na chaka lipi linatoa mchele safi

Na jinsi gani naweza kugundua mchele safi yan kiufupi vitu vya kuzingatia unaponunua mchele huko vijijin

Pia kingine faida mfano nikichuka tani mbili faida inaweza kurange vp nikija kuuza na itachukua mda ganii

Wana jf naombeni msaada wenu sana lengo ni kujikomboa na umaskini
Hapo mombasa frem ni shilingi ngapi kwa mwezi?
 
Kwa namna ulivyo andika, nachelea kusema kwamba ulikua haujajiandaa mkuu. Ebu angalia kitu kingine cha kufanya.
 
Mmeshajazana huko kuwa fursa ya kufuata mchele mashambani ina lipa,na ww bila reseach unataka uingie kichwa kichwa,relax mkuu.Fanya tafiti taratibu ikiwezekana kaweke Kambi mbalali hukooo hata wiki 2,ila kuongea tu ni uongo
 
Mmeshajazana huko kuwa fursa ya kufuata mchele mashambani ina lipa,na ww bila reseach unataka uingie kichwa kichwa,relax mkuu.Fanya tafiti taratibu ikiwezekana kaweke Kambi mbalali hukooo hata wiki 2,ila kuongea tu ni uongo
Saw mkuu nimekuelewa
 
Habarii natak mwaka huu niingie mwenyewe chaka kwenda kufunga mzigo wa mchele na kuja nao hapa dar

Naombeni muongozo wenu fremu ninayo mombasa ipo sehem yeny mzunguko mkubwa wa watu pia ni karib na lami ko wateja sina ila kutokana na location naamin sitahangaika sana kutafuta wateja wa kuanza nao.

Pili hii biashara ndo mala yang ya kwanz ko naomba kujua mkoa upi na chaka lipi linatoa mchele safi

Na jinsi gani naweza kugundua mchele safi yan kiufupi vitu vya kuzingatia unaponunua mchele huko vijijin

Pia kingine faida mfano nikichuka tani mbili faida inaweza kurange vp nikija kuuza na itachukua mda ganii

Wana jf naombeni msaada wenu sana lengo ni kujikomboa na umaskini
Tumeshaanza kuvuna ila hatuuzii mashambani. Mashineni gunia sasa hivi tunauza 75k!
 
Back
Top Bottom