Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,341
Kama ana computer easier way ni kuclick settings/anaenda options/...step ya tatu ukiiclick inakuletea web na password kwa wote waliotumia huyo comp
Kwanza kabisa nunua computer ikiwezekana laptop nzuri ya nyumbani halafu unakua na modem ya internet kwa ajili ya kubrowse halafu iwekee yafuatayo
Spyware & key-loggers
Spyware is a type of software that spies on what you do on your computer. Key-loggers record what keys you press on your keyboard.
halafu iweke kwenye mazingira ambayo ataiona na kutumia mara kwa mara nawewe usiache kuitumia mara chache chache.
kingine usimfuatilie kabisa matumizi yake ya computer mpaka uwe na uhakika ameshatumia zaidi ya week mbili au mwezi hapo utapata unachohitaji.
kuhusu sms na simu tupa chooni cm yake na usimnunulie tena na akinunua nyingine tupa tena na atakae kuuliza amuoe yeye....
maji ukiyavulia nguo.....