Nataka kuvunja ndoa msaada wa ICT plz.

Nataka kuvunja ndoa msaada wa ICT plz.

Kama ana computer easier way ni kuclick settings/anaenda options/...step ya tatu ukiiclick inakuletea web na password kwa wote waliotumia huyo comp


Kwanza kabisa nunua computer ikiwezekana laptop nzuri ya nyumbani halafu unakua na modem ya internet kwa ajili ya kubrowse halafu iwekee yafuatayo
Spyware & key-loggers
Spyware is a type of software that spies on what you do on your computer. Key-loggers record what keys you press on your keyboard.
halafu iweke kwenye mazingira ambayo ataiona na kutumia mara kwa mara nawewe usiache kuitumia mara chache chache.
kingine usimfuatilie kabisa matumizi yake ya computer mpaka uwe na uhakika ameshatumia zaidi ya week mbili au mwezi hapo utapata unachohitaji.

kuhusu sms na simu tupa chooni cm yake na usimnunulie tena na akinunua nyingine tupa tena na atakae kuuliza amuoe yeye....
maji ukiyavulia nguo.....
 
Pole sana ila mimi sitaki kumjudge moja kwa moja maana nna wasiwasi na chanzo cha tatizo.

Una uhakika wewe au nduguzo hamumblaim kwa kukosa kwenu mtoto?je una uhakika hujapunguza mapenzi kwake kwa sababu hiyohiyo?what i think kuna possibility kubwa yupo desperate na inachangiwa na jamii inayomzunguka inavyomtreat

Kuwa desperate ni kubaya sana labda amepata mtu anamfariji and it happen like its all she need ni kama wewe ulivyo na deep anguish right now trust me kama hauko makini akitokea mwanamke akaanza kukufariji yani utakavyoangukia kwake mzimamzima hutojitambua

Ni wanawake wachache sana wanaocheat bila sababu wengi wao huo maji yanakuwa yamewafika shingoni
 
Kwanza awali ya yote nisingependa kutukanwa au kukebehiwa na mtu hapa, ni saa tisa usiku sasa sijalala nawaza sana juu ya ndoa yangu. Machungu noliyonayo ni zaidi ya machozi ya damu. Kabla ya kuomba msaada nieleze kisa kwanza.

Mimi ni mwanaume mwaminifu sana ambaye sijui mke wa nje kabla ya kuoa na baada ya kuoa miaka 3 sasa. Katika muda huu hatujafanikiwa kupata mtoto baada ya mimba ya kwanza kuharibika. Nilikuwa nampenda sana mke wangu kwa muda wote wa ndoa lakini kumbe ni mzinzi. Sipendi nimdhuru yeye, wala hawala yake wala maisha yake lakini siwezi kuishi na mke anayetoka nje ya ndoa, uchunguzi wa awali umenihakikishia unyama anaonifanyia lakini nahitaji vithibitisho kwa kufikia uamuzi wa kuvunja ndoa.

Msaada: naomba watalaam wa ICT wanisaidie haya
1.Wanifundishe kuhackle akaunti ya facebook ya mke.wangu.
2. Kutrack sms, simu na location ya simu ya mke wangu.

Najua ni makosa kisheria lakini nahitaji kupata hizi data ili zinisaidie kumdaka na kupata ushahidi wa wazi. Mpaka siku nilipojua siwezi tena kuishi na mwanamke huyu zaidi ya hapo nitakuja kumchinja usiku bure.

Naomba niwasilishe hoja, lakini kabla hujacomment fikiria nimeteseka sana na maumivu usiku kucha, sina mtu wa karibu wa kumpa suala langu zaidi nikaona nitupie hapa JF, hebu sasa heshimu mawazo yangu ukoment kitu cha maana na nisingependa ushauri wa ndoa zaidi naomba ujuzi huo hapo juu.

Majaribu2013 hoi kitandani Dar salama.
Mtu hujulikana kwa maneno yake wala hamna haja ya kuchunguza na kuhangaika sana wewe mhoji kuhusu unachokijua halafu angalia namna yake ya kujibu kwamba ni ya kebehi na dharau au ya woga na kujutia. Tokea pale pitisha uamuzi.
 
Dah unapoyasikia haya inauma sana hasa kama umeoa, ni uyasikie kwa mwezio tu, kweli ni boraaibe na mimi nisijue ila nikijua mtiti wake hata sijui, but nitavunjika moyo sana, nadhani maisha yatabadilika mkazo utakuwa kwa watoto na maendeleo yangu binafsi. Ila suala la HIV nalo linakuwa linakubip sana.
 
hiyo iko pande zote wanadamu wa dunia hii hawana uaminifu wowote wote ni majanga
Ngojea ninyooshee ukweli naojua mimi..
Sisi wanaume tuna tatizo sana nadhani Mie nilikuwa Kiongozi. Hakuna kitu inayomuuma mbaba kama kusikia mwanamke anayemwita mkewe kuna watu wanampandia huwa inauma zaidi ya uchungu Wa pakanga- frankly it pains a lot.

Mie nilipatwa Na maumivu hadi yakanipa wakati mgumu, ukichukulia mywife anafanya Kazi Za night shift Basi balaa, ukichukua cm yake utachoka, ukiendesha Na Kufanya Suprise visit ofcn kwake mid-night sometimes unakuta hayupo cm off. Nikapiga mkwara aache job naye akachimba bit Kama vipi nitoe talaka.

Sometime niliwaza kufanya vinasaba (DNA) Kwa Watoto to identify whether I am the real fadher. Nikachukua doc Kwa mwanasheria msobe Msobe hadi Ocean-Road hsp Kwenye dpt yake but on the way nikawaza how if I found SIO itakuwavipi Na jinsi navyowapenda wanangu can I handle?. Nakaachilia mawazo ile.

Nilishaorganize ndugu zake Na wazazi wanisaidie waowenyewe walichemsha. Imagine unafanya Suprise visit mid-night, kisha wanakwambia mkeo Leo yuko off au shift yake ni mchana Na SIO Mara moja Wala mbili , ukimuuliza simple anakujibu usimfuatilie Na Kazi . Ukiwaza kumpiga chini unawazia pia mstakabali wa Watoto Na heshima yako Mbele ya jamii.

Sina nia ya kukwambia my things Bali tu elewa unaposikitikia jambo wengine walishalia machozi ya Damu. Then lastly I got an idea, Kwamba Kama wanaume wenzangu wanachonga penseli zao humo kwani kichongeo wanakivunja? Waache wachonge wapendavyo maadam kichongeo Kina nguvu ok. Hapo nikawa flexible, nakumbuka was 2008. Then from that time nikapush Kwenye maendeleo sikuwa Na stress tena
 
Kwa gharama ya shilingi ngapi Majaribu2013, maana ujue pia uzito wa swala lenyewe, kuvunja ndoa ya mtu sio mchezo!
 
Last edited by a moderator:
@MKWELItu hiyo simulizi yako kiboko, kumbe bado wavumilivu wapo duniani.
 
Best wanawake wengine wana bahati zao. Kwa mume mwingine hii ndoa ni mfu siku nyingi lakini huyu binti bado ni mke tena na kiburi cha hali ya juu!!! Dah!!!

Omg!
Seriously? Yaani unakuta yupo off kakudanganya yuko kazini na unamezea?!

Sijui Mungu huwa anahusika na hizi match makings!

Swali, sio lazima unijibu lakini. Una nyumba ndogo? Manake najaribu kuwaza how do u distract urself from this zone reality!
 
Majaribu naomba kwanza utupe uhuru wa tushauri, tunajua maumivu yako, kama mwanamke i feel sorry for you. Wengine tunatafuta waaminifu kama wewe tunaishia kuanguka mikononi mwa simba.

Sasa basi naomba nijue kitu kimoja, wewe unatafuta kuhuck simu yake, facebook kwa nini? Mpaka unakuja hapa nilitegemea unatupa message hata moja iliyokufanya wewe kufikiria hayo kwamba unaibiwa au hata dialled number nyingi per day inayokupelekea kuwa na wasi wasi?

Kama kiroho uko safi, funga siku tatu huna haja ya kutafutana na mafacebook wala nini mungu atakupa jibu. Miaka uliyokaa na mkeo hamna watoto, shetani anatumia hiyo chance ili wewe uwe chanzo cha kuachana kwenu, but mshinde kwa neno!!

Sorry if i have offended you, angalia mifanyo ya waliopita kwneye matatizo kama yako, wao wana evidence wewe huna ndiyo utafuta. Ebu acha kumpa shetani ushindi kirahisi wewe! Mungu akutie nguvu sana.

Nataka kutrack movement zake na kumnasa fumanizi. namfahamu mpaka mtu anayemchukua. na nimeshuhudia mengi yaani kwa kifupi sijakurupuka na sina tabia ya kukurupuka kwani sasa ni miezi 3 natafuta uthibitsho wa awali.
 
Pole Sana, Ila naona kuendelea kumpekua ki hivyo itakuumiza zaidi, Sema na Moyo wako ufikie uamuzi utakaoona una tija

Mungu Ndio Msaada mkubwa kwako ktk hili

Ninaona unavyo jisikia ila jipe moyo mkuu na Mungu akupe hekima yake ktk kutoa uamuzi
 
Ndg kwanza hongera kwa uvumilivu ulionao ningekwa mm muda huu pengine wote au 1 kati yao ningeshamficha! Hakuna ki2 ngumu km kujua mkeo anatafunwa mtaani! Naamin hadi umekuja humu mns unauhakika kwamba anamegwa! Shida tunajadili ishu upande 1 hatujui naww unamchango gani kwenye hilo! nackitika mkuu MKWELItu! anaweza kuona ni shujaa kukaa na mwanamke anaezini clear! Kumbuka wanawake wanadharau sn! Mleta mada uamuzi ni wako! kuishi nae or kupiga chini chamuhimu jipe muda wakuamua sio wakuchunguza tena!
 
Nataka kutrack movement zake na kumnasa fumanizi. namfahamu mpaka mtu anayemchukua. na nimeshuhudia mengi yaani kwa kifupi sijakurupuka na sina tabia ya kukurupuka kwani sasa ni miezi 3 natafuta uthibitsho wa awali.

Mpe warning tu aache kutembea na mkeo basi, hayo ya kumkamata wakati anaendelea kudungua tunda lako nafikiri it does not brint sense.
 
Pole sana ila mimi sitaki kumjudge moja kwa moja maana nna wasiwasi na chanzo cha tatizo.

Una uhakika wewe au nduguzo hamumblaim kwa kukosa kwenu mtoto?je una uhakika hujapunguza mapenzi kwake kwa sababu hiyohiyo?what i think kuna possibility kubwa yupo desperate na inachangiwa na jamii inayomzunguka inavyomtreat

Kuwa desperate ni kubaya sana labda amepata mtu anamfariji and it happen like its all she need ni kama wewe ulivyo na deep anguish right now trust me kama hauko makini akitokea mwanamke akaanza kukufariji yani utakavyoangukia kwake mzimamzima hutojitambua

Ni wanawake wachache sana wanaocheat bila sababu wengi wao huo maji yanakuwa yamewafika shingoni

I think so! Mungu tupe uaminifu.
 
Luckily, there is one way to crack or hack facebook passwords, though hacking facebook passwords are extremely hard, I found one hack that is working. I tried it and its working well. It is free and you can download it here:

http://hackingfbpassword.com

You can use it to recover your password or hack any accounts that you want, the hackers that made this hack made it simple and easy to use.. all you have to do is download the hack open it and paste the profile URL of the account you want to hack (doesnt matter if you are friends with the account or not) . Don't abuse the hack too much.

[h=3]Source(s):[/h]http://hackingfbpassword.com

  • Courtsey Yahoo
 
Back
Top Bottom