Nataka niweke wazi kuwa chanzo cha mwanamke kukufanyia mikasa fulani na kuwa na jeuri fulani lazima kuna sehemu anayopata confidence hiyo. Kwa hiyo unatakiwa umjue mkeo anaringia nini mpaka akutese kiasi hicho. Nakupa mfano, kuna wanawake wamejaliwa uzuri sana na labda mke wako ni miongoni mwao lakini mpaka mnaoana labda wewe ndiyo ulilazimisha ndoa ili umwahi kabla wajanja hawajakuwahi.
Lakini matokeo yake mnafunga ndoa na mkeo anashindwa kuhimili vishawishi vya wanaume wakware wanaomtaka. Ikitokea hivyo jua kabisa huna chako, mfano mzuri naweza kuutoa wa ndoa ya Ndikumana na Irene Uwoya inaweza kuwa ushuhuda mzuri tu.
Pia huweza kutokea mara nyingine wanawake wakawa wanafanya kazi na kuwa na vipato vizuri ambavyo huwapa kiburi maana wanaona hawana cha kupoteza na suala la ndoa linabaki kama heshima. Wanawake wa namna hii wapo wengi sana nao ni miongoni mwa pasua kichwa.
Yote kwa yote, hata kama ikitokea una dizaini yoyote ya mwanmke hapo juu usiruhusu kabisa afanye umalaya huku ukijua mkeo anakusaliti wazi wazi, ni BORA KUFANYA MAAMUZI magumu kuliko kuendelea kuumia.
Ina uma sana unavyofikiria mkeo anatoa nje hujui huyo anayemkunyuga nje kama atamuacha salama bila kula kabang au kusalimika na magonjwa. Unabakia kupata uchungu usioelezeka.
Ili kuepukana na kupata magonjwa na kuzeeka kabla ya muda ni bora ukajitenga na mwanamke huyo hatua kwa hatua.
1.0 Unaweza kuwa hamshei ndoa lakini mnaishi nyumba moja kwa mustakabali wa wototo wenu ambao usingependa wakuulize maswali mengi juu ya mama yao. Watoto wakikua watajua nani mchokozi kulingana na mienendo watakayokuwa wanaiona na hapo unaweza kuchukua uamuzi wowote uutakao.
2.0 Kumuacha kabisa maana vitabu vyote vya dini vinaruhusu mwanmke mzinzi kuachwa.
Huo ni mtazamo wangu lakini.
Kwanza awali ya yote nisingependa kutukanwa au kukebehiwa na mtu hapa, ni saa tisa usiku sasa sijalala nawaza sana juu ya ndoa yangu. Machungu noliyonayo ni zaidi ya machozi ya damu. Kabla ya kuomba msaada nieleze kisa kwanza.
Mimi ni mwanaume mwaminifu sana ambaye sijui mke wa nje kabla ya kuoa na baada ya kuoa miaka 3 sasa. Katika muda huu hatujafanikiwa kupata mtoto baada ya mimba ya kwanza kuharibika. Nilikuwa nampenda sana mke wangu kwa muda wote wa ndoa lakini kumbe ni mzinzi. Sipendi nimdhuru yeye, wala hawala yake wala maisha yake lakini siwezi kuishi na mke anayetoka nje ya ndoa, uchunguzi wa awali umenihakikishia unyama anaonifanyia lakini nahitaji vithibitisho kwa kufikia uamuzi wa kuvunja ndoa.
Msaada: naomba watalaam wa ICT wanisaidie haya
1.Wanifundishe kuhackle akaunti ya facebook ya mke.wangu.
2. Kutrack sms, simu na location ya simu ya mke wangu.
Najua ni makosa kisheria lakini nahitaji kupata hizi data ili zinisaidie kumdaka na kupata ushahidi wa wazi. Mpaka siku nilipojua siwezi tena kuishi na mwanamke huyu zaidi ya hapo nitakuja kumchinja usiku bure.
Naomba niwasilishe hoja, lakini kabla hujacomment fikiria nimeteseka sana na maumivu usiku kucha, sina mtu wa karibu wa kumpa suala langu zaidi nikaona nitupie hapa JF, hebu sasa heshimu mawazo yangu ukoment kitu cha maana na nisingependa ushauri wa ndoa zaidi naomba ujuzi huo hapo juu.
Majaribu2013 hoi kitandani Dar salama.
Ngojea ninyooshee ukweli naojua mimi..
Sisi wanaume tuna tatizo sana nadhani Mie nilikuwa Kiongozi. Hakuna kitu inayomuuma mbaba kama kusikia mwanamke anayemwita mkewe kuna watu wanampandia huwa inauma zaidi ya uchungu Wa pakanga- frankly it pains a lot.
Mie nilipatwa Na maumivu hadi yakanipa wakati mgumu, ukichukulia mywife anafanya Kazi Za night shift Basi balaa, ukichukua cm yake utachoka, ukiendesha Na Kufanya Suprise visit ofcn kwake mid-night sometimes unakuta hayupo cm off. Nikapiga mkwara aache job naye akachimba bit Kama vipi nitoe talaka.
Sometime niliwaza kufanya vinasaba (DNA) Kwa Watoto to identify whether I am the real fadher. Nikachukua doc Kwa mwanasheria msobe Msobe hadi Ocean-Road hsp Kwenye dpt yake but on the way nikawaza how if I found SIO itakuwavipi Na jinsi navyowapenda wanangu can I handle?. Nakaachilia mawazo ile.
Nilishaorganize ndugu zake Na wazazi wanisaidie waowenyewe walichemsha. Imagine unafanya Suprise visit mid-night, kisha wanakwambia mkeo Leo yuko off au shift yake ni mchana Na SIO Mara moja Wala mbili , ukimuuliza simple anakujibu usimfuatilie Na Kazi . Ukiwaza kumpiga chini unawazia pia mstakabali wa Watoto Na heshima yako Mbele ya jamii.
Sina nia ya kukwambia my things Bali tu elewa unaposikitikia jambo wengine walishalia machozi ya Damu. Then lastly I got an idea, Kwamba Kama wanaume wenzangu wanachonga penseli zao humo kwani kichongeo wanakivunja? Waache wachonge wapendavyo maadam kichongeo Kina nguvu ok. Hapo nikawa flexible, nakumbuka was 2008. Then from that time nikapush Kwenye maendeleo sikuwa Na stress tena