Nataka kuvunja ndoa msaada wa ICT plz.

Nataka kuvunja ndoa msaada wa ICT plz.

Ngojea ninyooshee ukweli naojua mimi..
Sisi wanaume tuna tatizo sana nadhani Mie nilikuwa Kiongozi. Hakuna kitu inayomuuma mbaba kama kusikia mwanamke anayemwita mkewe kuna watu wanampandia huwa inauma zaidi ya uchungu Wa pakanga- frankly it pain a lot. Mie nilipatwa Na maumivu hadi yakanipa wakati mgumu, ukichukulia mywife anafanya Kazi Za night shift Basi balaa, ukichukua cm yake utachoka, ukiendesha Na Kufanya Suprise visit ofcn kwake mid-night sometimes unakuta hayupo cm off. Nikapiga mkwara aache job naye akachimba bit Kama vipi nitoe talaka.

Sometime niliwaza kufanya vinasaba (DNA) Kwa Watoto to identify whether I am the real fadher. Nikachukua doc Kwa mwanasheria msobe Msobe hadi Ocean-Road hsp Kwenye dpt yake but on the way nikawaza how if I found SIO itakuwavipi Na jinsi navyowapenda wanangu can I handle?. Nakaachilia mawazo ile.

Nilishaorganize ndugu zake Na wazazi wanisaidie waowenyewe walichemsha. Imagine unafanya Suprise visit mid-night, kisha wanakwambia mkeo Leo yuko off au shift yake ni mchana Na SIO Mara moja Wala mbili , ukimuuliza simple anakujibu usimfuatilie Na Kazi . Ukiwaza kumpiga chini unawazia pia mstakabali wa Watoto Na heshima yako Mbele ya jamii.

Sina nia ya kukwambia my things Bali tu elewa unaposikitikia jambo wengine walishalia machozi ya Damu. Then lastly I got an idea, Kwamba Kama wanaume wenzangu wanachonga penseli zao humo kwani kichongeo wanakivunja? Waache wachonge wapendavyo maadam kichongeo Kina nguvu ok. Hapo nikawa flexble, nakumbuka wax s 2008. Then from that time nikapush Kwenye maendeleo sikuwa Na stress tena

Pole kwa uamzi wako. Nadhani maamzi ndiyo silha ya mwisho kwa binadam
 
Pole sana kaka lazima ujichunguza kwanza mwenyewe wewe ni jembe na linajua kutifua kweli kweli kama uko poa fanya ivi take at easy kumbuka uoga ni dhambi chukua maamuzi huu tafuta mwanamke mwingine songa mbele usiangalie walimwengu watasema nn

Mkuu kukimbilia uamuzi kama huo pia una madhara kwake kwani waaminifu walivyo wachache sasa utabadilisha wangapi? Ni bora kukabiliana na tatizo ulilonalo tena kwa kina ili mwisho wa siku ukija na uamuzi uwe ni wenye maslahi thabiti kwako na hata kama ni kuwa na mwingine ni kumchunguza kwa makini na kwa muda mrefu ili usijeingia tena rong turn
 
ndo maana nikasema nahitaji ushahidi wazi yaani fumanizi

Hata kwa kumwomba Mungu atakuonyesha njia ya kuthibitisha ukweli, kwani uvumilivu na busara ndiyo utakaokufikisha mwisho wenye maamuzi mazuri japo inauma!
 
Omg!
Seriously? Yaani unakuta yupo off kakudanganya yuko kazini na unamezea?!

Sijui Mungu huwa anahusika na hizi match makings!

Swali, sio lazima unijibu lakini. Una nyumba ndogo? Manake najaribu kuwaza how do u distract urself from this zone reality!
Ngojea ninyooshee ukweli naojua mimi..
Sisi wanaume tuna tatizo sana nadhani Mie nilikuwa Kiongozi. Hakuna kitu inayomuuma mbaba kama kusikia mwanamke anayemwita mkewe kuna watu wanampandia huwa inauma zaidi ya uchungu Wa pakanga- frankly it pain a lot. Mie nilipatwa Na maumivu hadi yakanipa wakati mgumu, ukichukulia mywife anafanya Kazi Za night shift Basi balaa, ukichukua cm yake utachoka, ukiendesha Na Kufanya Suprise visit ofcn kwake mid-night sometimes unakuta hayupo cm off. Nikapiga mkwara aache job naye akachimba bit Kama vipi nitoe talaka.

Sometime niliwaza kufanya vinasaba (DNA) Kwa Watoto to identify whether I am the real fadher. Nikachukua doc Kwa mwanasheria msobe Msobe hadi Ocean-Road hsp Kwenye dpt yake but on the way nikawaza how if I found SIO itakuwavipi Na jinsi navyowapenda wanangu can I handle?. Nakaachilia mawazo ile.

Nilishaorganize ndugu zake Na wazazi wanisaidie waowenyewe walichemsha. Imagine unafanya Suprise visit mid-night, kisha wanakwambia mkeo Leo yuko off au shift yake ni mchana Na SIO Mara moja Wala mbili , ukimuuliza simple anakujibu usimfuatilie Na Kazi . Ukiwaza kumpiga chini unawazia pia mstakabali wa Watoto Na heshima yako Mbele ya jamii.

Sina nia ya kukwambia my things Bali tu elewa unaposikitikia jambo wengine walishalia machozi ya Damu. Then lastly I got an idea, Kwamba Kama wanaume wenzangu wanachonga penseli zao humo kwani kichongeo wanakivunja? Waache wachonge wapendavyo maadam kichongeo Kina nguvu ok. Hapo nikawa flexble, nakumbuka wax s 2008. Then from that time nikapush Kwenye maendeleo sikuwa Na stress tena
 
its hard to judge case from single sided story..'
 
Ngojea ninyooshee ukweli naojua mimi..
Sisi wanaume tuna tatizo sana nadhani Mie nilikuwa Kiongozi. Hakuna kitu inayomuuma mbaba kama kusikia mwanamke anayemwita mkewe kuna watu wanampandia huwa inauma zaidi ya uchungu Wa pakanga- frankly it pain a lot. Mie nilipatwa Na maumivu hadi yakanipa wakati mgumu, ukichukulia mywife anafanya Kazi Za night shift Basi balaa, ukichukua cm yake utachoka, ukiendesha Na Kufanya Suprise visit ofcn kwake mid-night sometimes unakuta hayupo cm off. Nikapiga mkwara aache job naye akachimba bit Kama vipi nitoe talaka.

Sometime niliwaza kufanya vinasaba (DNA) Kwa Watoto to identify whether I am the real fadher. Nikachukua doc Kwa mwanasheria msobe Msobe hadi Ocean-Road hsp Kwenye dpt yake but on the way nikawaza how if I found SIO itakuwavipi Na jinsi navyowapenda wanangu can I handle?. Nakaachilia mawazo ile.

Nilishaorganize ndugu zake Na wazazi wanisaidie waowenyewe walichemsha. Imagine unafanya Suprise visit mid-night, kisha wanakwambia mkeo Leo yuko off au shift yake ni mchana Na SIO Mara moja Wala mbili , ukimuuliza simple anakujibu usimfuatilie Na Kazi . Ukiwaza kumpiga chini unawazia pia mstakabali wa Watoto Na heshima yako Mbele ya jamii.

Sina nia ya kukwambia my things Bali tu elewa unaposikitikia jambo wengine walishalia machozi ya Damu. Then lastly I got an idea, Kwamba Kama wanaume wenzangu wanachonga penseli zao humo kwani kichongeo wanakivunja? Waache wachonge wapendavyo maadam kichongeo Kina nguvu ok. Hapo nikawa flexble, nakumbuka wax s 2008. Then from that time nikapush Kwenye maendeleo sikuwa Na stress tena

Mh! Hata kama ukiweza kuvumilia ivo bado watoto watakuwa ktk mazingira mengine tena magum zaidi kwani hujui huko nje anakocheza kama kuko salama kwani kwa hali ya magonjwa ya sasa imagen yakawapata na mwisho wa siku mkaaga dunia hao watoto mtawaacha ktk mazingira gani? Je yatakuwa bora kuliko yale ya mzazi mmoja ama ya kutokuwa na mzazi hata mmoja? Iloko mkuu fikiria mara 2 huo uamuzi wako!
 
Dah hamna kitu inauma kama hiyo pole sana bro!!! Hali kama hiyo ilinipata miaka 7 nyuma. Ilinilazimu kutumia mbinu na ujuzi wangu wote wa IT kudaka mgoni(ambaye alikuwa baba yangu sio mzazi lakini) na kufanikiwa kuvunja uchumba niliokuwa nao.

*****ANGALIZO*****

Yataka moyo sana! Naomba uwe na uhakika kama kweli utakuwa na uwezo kuvumilia kile utachokiona. Wengi waliishia kuua na wenyewe kujimaliza.

USHAURI: Kama unajimudu tumia mbinu zozote za kumrubuni atajikanyaga tu mahali... Kama uliweza kupiga misele ya kutosha hadi ukamfanya mke naamini huwezi kushindwa katika hilo. Achana na haya ya kutafuta evidence yatakusumbua SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO.

Nawasilisha
 
Kama ingekuwa suala lingine ningekueleza namna ya kuhack facebook account,but kwa ajili ya kuvunja ndoa?no hapana HAPANA
 
Kwanza awali ya yote nisingependa kutukanwa au kukebehiwa na mtu hapa, ni saa tisa usiku sasa sijalala nawaza sana juu ya ndoa yangu. Machungu noliyonayo ni zaidi ya machozi ya damu. Kabla ya kuomba msaada nieleze kisa kwanza.

Mimi ni mwanaume mwaminifu sana ambaye sijui mke wa nje kabla ya kuoa na baada ya kuoa miaka 3 sasa. Katika muda huu hatujafanikiwa kupata mtoto baada ya mimba ya kwanza kuharibika. Nilikuwa nampenda sana mke wangu kwa muda wote wa ndoa lakini kumbe ni mzinzi. Sipendi nimdhuru yeye, wala hawala yake wala maisha yake lakini siwezi kuishi na mke anayetoka nje ya ndoa, uchunguzi wa awali umenihakikishia unyama anaonifanyia lakini nahitaji vithibitisho kwa kufikia uamuzi wa kuvunja ndoa.

Msaada: naomba watalaam wa ICT wanisaidie haya
1.Wanifundishe kuhackle akaunti ya facebook ya mke.wangu.
2. Kutrack sms, simu na location ya simu ya mke wangu.

Najua ni makosa kisheria lakini nahitaji kupata hizi data ili zinisaidie kumdaka na kupata ushahidi wa wazi. Mpaka siku nilipojua siwezi tena kuishi na mwanamke huyu zaidi ya hapo nitakuja kumchinja usiku bure.

Naomba niwasilishe hoja, lakini kabla hujacomment fikiria nimeteseka sana na maumivu usiku kucha, sina mtu wa karibu wa kumpa suala langu zaidi nikaona nitupie hapa JF, hebu sasa heshimu mawazo yangu ukoment kitu cha maana na nisingependa ushauri wa ndoa zaidi naomba ujuzi huo hapo juu.

Majaribu2013 hoi kitandani Dar salama.

Pole sana. Hizo Ndizo harakati za maisha dogo. Usivunjike moyo
 
Kwanza awali ya yote nisingependa kutukanwa au kukebehiwa na mtu hapa, ni saa tisa usiku sasa sijalala nawaza sana juu ya ndoa yangu. Machungu noliyonayo ni zaidi ya machozi ya damu. Kabla ya kuomba msaada nieleze kisa kwanza.

Mimi ni mwanaume mwaminifu sana ambaye sijui mke wa nje kabla ya kuoa na baada ya kuoa miaka 3 sasa. Katika muda huu hatujafanikiwa kupata mtoto baada ya mimba ya kwanza kuharibika. Nilikuwa nampenda sana mke wangu kwa muda wote wa ndoa lakini kumbe ni mzinzi. Sipendi nimdhuru yeye, wala hawala yake wala maisha yake lakini siwezi kuishi na mke anayetoka nje ya ndoa, uchunguzi wa awali umenihakikishia unyama anaonifanyia lakini nahitaji vithibitisho kwa kufikia uamuzi wa kuvunja ndoa.

Msaada: naomba watalaam wa ICT wanisaidie haya
1.Wanifundishe kuhackle akaunti ya facebook ya mke.wangu.
2. Kutrack sms, simu na location ya simu ya mke wangu.

Najua ni makosa kisheria lakini nahitaji kupata hizi data ili zinisaidie kumdaka na kupata ushahidi wa wazi. Mpaka siku nilipojua siwezi tena kuishi na mwanamke huyu zaidi ya hapo nitakuja kumchinja usiku bure.

Naomba niwasilishe hoja, lakini kabla hujacomment fikiria nimeteseka sana na maumivu usiku kucha, sina mtu wa karibu wa kumpa suala langu zaidi nikaona nitupie hapa JF, hebu sasa heshimu mawazo yangu ukoment kitu cha maana na nisingependa ushauri wa ndoa zaidi naomba ujuzi huo hapo juu.

Majaribu2013 hoi kitandani Dar salama.
Kwanza kabisa nunua computer ikiwezekana laptop nzuri ya nyumbani halafu unakua na modem ya internet kwa ajili ya kubrowse halafu iwekee yafuatayo
Spyware & key-loggers
Spyware is a type of software that spies on what you do on your computer. Key-loggers record what keys you press on your keyboard.
halafu iweke kwenye mazingira ambayo ataiona na kutumia mara kwa mara nawewe usiache kuitumia mara chache chache.
kingine usimfuatilie kabisa matumizi yake ya computer mpaka uwe na uhakika ameshatumia zaidi ya week mbili au mwezi hapo utapata unachohitaji.

kuhusu sms na simu tupa chooni cm yake na usimnunulie tena na akinunua nyingine tupa tena na atakae kuuliza amuoe yeye....
maji ukiyavulia nguo.....
 
Bro umeandika kwa uchungu sana pole aisee.
 
Ngojea ninyooshee ukweli naojua mimi..
Sisi wanaume tuna tatizo sana nadhani Mie nilikuwa Kiongozi. Hakuna kitu inayomuuma mbaba kama kusikia mwanamke anayemwita mkewe kuna watu wanampandia huwa inauma zaidi ya uchungu Wa pakanga- frankly it pains a lot.

Mie nilipatwa Na maumivu hadi yakanipa wakati mgumu, ukichukulia mywife anafanya Kazi Za night shift Basi balaa, ukichukua cm yake utachoka, ukiendesha Na Kufanya Suprise visit ofcn kwake mid-night sometimes unakuta hayupo cm off. Nikapiga mkwara aache job naye akachimba bit Kama vipi nitoe talaka.

Sometime niliwaza kufanya vinasaba (DNA) Kwa Watoto to identify whether I am the real fadher. Nikachukua doc Kwa mwanasheria msobe Msobe hadi Ocean-Road hsp Kwenye dpt yake but on the way nikawaza how if I found SIO itakuwavipi Na jinsi navyowapenda wanangu can I handle?. Nakaachilia mawazo ile.

Nilishaorganize ndugu zake Na wazazi wanisaidie waowenyewe walichemsha. Imagine unafanya Suprise visit mid-night, kisha wanakwambia mkeo Leo yuko off au shift yake ni mchana Na SIO Mara moja Wala mbili , ukimuuliza simple anakujibu usimfuatilie Na Kazi . Ukiwaza kumpiga chini unawazia pia mstakabali wa Watoto Na heshima yako Mbele ya jamii.

Sina nia ya kukwambia my things Bali tu elewa unaposikitikia jambo wengine walishalia machozi ya Damu. Then lastly I got an idea, Kwamba Kama wanaume wenzangu wanachonga penseli zao humo kwani kichongeo wanakivunja? Waache wachonge wapendavyo maadam kichongeo Kina nguvu ok. Hapo nikawa flexible, nakumbuka was 2008. Then from that time nikapush Kwenye maendeleo sikuwa Na stress tena

du! U are a strong man. Pole sana. Wanume wengi wamezoea kuumiza wake zao.sasa nikisikia mke anamsumbua mume namshangaa sana huyu m.mke.
 
Nataka niweke wazi kuwa chanzo cha mwanamke kukufanyia mikasa fulani na kuwa na jeuri fulani lazima kuna sehemu anayopata confidence hiyo. Kwa hiyo unatakiwa umjue mkeo anaringia nini mpaka akutese kiasi hicho. Nakupa mfano, kuna wanawake wamejaliwa uzuri sana na labda mke wako ni miongoni mwao lakini mpaka mnaoana labda wewe ndiyo ulilazimisha ndoa ili umwahi kabla wajanja hawajakuwahi.

Lakini matokeo yake mnafunga ndoa na mkeo anashindwa kuhimili vishawishi vya wanaume wakware wanaomtaka. Ikitokea hivyo jua kabisa huna chako, mfano mzuri naweza kuutoa wa ndoa ya Ndikumana na Irene Uwoya inaweza kuwa ushuhuda mzuri tu.

Pia huweza kutokea mara nyingine wanawake wakawa wanafanya kazi na kuwa na vipato vizuri ambavyo huwapa kiburi maana wanaona hawana cha kupoteza na suala la ndoa linabaki kama heshima. Wanawake wa namna hii wapo wengi sana nao ni miongoni mwa pasua kichwa.

Yote kwa yote, hata kama ikitokea una dizaini yoyote ya mwanmke hapo juu usiruhusu kabisa afanye umalaya huku ukijua mkeo anakusaliti wazi wazi, ni BORA KUFANYA MAAMUZI magumu kuliko kuendelea kuumia.

Ina uma sana unavyofikiria mkeo anatoa nje hujui huyo anayemkunyuga nje kama atamuacha salama bila kula kabang au kusalimika na magonjwa. Unabakia kupata uchungu usioelezeka.
Ili kuepukana na kupata magonjwa na kuzeeka kabla ya muda ni bora ukajitenga na mwanamke huyo hatua kwa hatua.

1.0 Unaweza kuwa hamshei ndoa lakini mnaishi nyumba moja kwa mustakabali wa wototo wenu ambao usingependa wakuulize maswali mengi juu ya mama yao. Watoto wakikua watajua nani mchokozi kulingana na mienendo watakayokuwa wanaiona na hapo unaweza kuchukua uamuzi wowote uutakao.

2.0 Kumuacha kabisa maana vitabu vyote vya dini vinaruhusu mwanmke mzinzi kuachwa.

Huo ni mtazamo wangu lakini.


Kwanza awali ya yote nisingependa kutukanwa au kukebehiwa na mtu hapa, ni saa tisa usiku sasa sijalala nawaza sana juu ya ndoa yangu. Machungu noliyonayo ni zaidi ya machozi ya damu. Kabla ya kuomba msaada nieleze kisa kwanza.

Mimi ni mwanaume mwaminifu sana ambaye sijui mke wa nje kabla ya kuoa na baada ya kuoa miaka 3 sasa. Katika muda huu hatujafanikiwa kupata mtoto baada ya mimba ya kwanza kuharibika. Nilikuwa nampenda sana mke wangu kwa muda wote wa ndoa lakini kumbe ni mzinzi. Sipendi nimdhuru yeye, wala hawala yake wala maisha yake lakini siwezi kuishi na mke anayetoka nje ya ndoa, uchunguzi wa awali umenihakikishia unyama anaonifanyia lakini nahitaji vithibitisho kwa kufikia uamuzi wa kuvunja ndoa.

Msaada: naomba watalaam wa ICT wanisaidie haya
1.Wanifundishe kuhackle akaunti ya facebook ya mke.wangu.
2. Kutrack sms, simu na location ya simu ya mke wangu.

Najua ni makosa kisheria lakini nahitaji kupata hizi data ili zinisaidie kumdaka na kupata ushahidi wa wazi. Mpaka siku nilipojua siwezi tena kuishi na mwanamke huyu zaidi ya hapo nitakuja kumchinja usiku bure.

Naomba niwasilishe hoja, lakini kabla hujacomment fikiria nimeteseka sana na maumivu usiku kucha, sina mtu wa karibu wa kumpa suala langu zaidi nikaona nitupie hapa JF, hebu sasa heshimu mawazo yangu ukoment kitu cha maana na nisingependa ushauri wa ndoa zaidi naomba ujuzi huo hapo juu.

Majaribu2013 hoi kitandani Dar salama.

Ngojea ninyooshee ukweli naojua mimi..
Sisi wanaume tuna tatizo sana nadhani Mie nilikuwa Kiongozi. Hakuna kitu inayomuuma mbaba kama kusikia mwanamke anayemwita mkewe kuna watu wanampandia huwa inauma zaidi ya uchungu Wa pakanga- frankly it pains a lot.

Mie nilipatwa Na maumivu hadi yakanipa wakati mgumu, ukichukulia mywife anafanya Kazi Za night shift Basi balaa, ukichukua cm yake utachoka, ukiendesha Na Kufanya Suprise visit ofcn kwake mid-night sometimes unakuta hayupo cm off. Nikapiga mkwara aache job naye akachimba bit Kama vipi nitoe talaka.

Sometime niliwaza kufanya vinasaba (DNA) Kwa Watoto to identify whether I am the real fadher. Nikachukua doc Kwa mwanasheria msobe Msobe hadi Ocean-Road hsp Kwenye dpt yake but on the way nikawaza how if I found SIO itakuwavipi Na jinsi navyowapenda wanangu can I handle?. Nakaachilia mawazo ile.

Nilishaorganize ndugu zake Na wazazi wanisaidie waowenyewe walichemsha. Imagine unafanya Suprise visit mid-night, kisha wanakwambia mkeo Leo yuko off au shift yake ni mchana Na SIO Mara moja Wala mbili , ukimuuliza simple anakujibu usimfuatilie Na Kazi . Ukiwaza kumpiga chini unawazia pia mstakabali wa Watoto Na heshima yako Mbele ya jamii.

Sina nia ya kukwambia my things Bali tu elewa unaposikitikia jambo wengine walishalia machozi ya Damu. Then lastly I got an idea, Kwamba Kama wanaume wenzangu wanachonga penseli zao humo kwani kichongeo wanakivunja? Waache wachonge wapendavyo maadam kichongeo Kina nguvu ok. Hapo nikawa flexible, nakumbuka was 2008. Then from that time nikapush Kwenye maendeleo sikuwa Na stress tena
 
Ngojea ninyooshee ukweli naojua mimi..
Sisi wanaume tuna tatizo sana nadhani Mie nilikuwa Kiongozi. Hakuna kitu inayomuuma mbaba kama kusikia mwanamke anayemwita mkewe kuna watu wanampandia huwa inauma zaidi ya uchungu Wa pakanga- frankly it pains a lot.

Mie nilipatwa Na maumivu hadi yakanipa wakati mgumu, ukichukulia mywife anafanya Kazi Za night shift Basi balaa, ukichukua cm yake utachoka, ukiendesha Na Kufanya Suprise visit ofcn kwake mid-night sometimes unakuta hayupo cm off. Nikapiga mkwara aache job naye akachimba bit Kama vipi nitoe talaka.

Sometime niliwaza kufanya vinasaba (DNA) Kwa Watoto to identify whether I am the real fadher. Nikachukua doc Kwa mwanasheria msobe Msobe hadi Ocean-Road hsp Kwenye dpt yake but on the way nikawaza how if I found SIO itakuwavipi Na jinsi navyowapenda wanangu can I handle?. Nakaachilia mawazo ile.

Nilishaorganize ndugu zake Na wazazi wanisaidie waowenyewe walichemsha. Imagine unafanya Suprise visit mid-night, kisha wanakwambia mkeo Leo yuko off au shift yake ni mchana Na SIO Mara moja Wala mbili , ukimuuliza simple anakujibu usimfuatilie Na Kazi . Ukiwaza kumpiga chini unawazia pia mstakabali wa Watoto Na heshima yako Mbele ya jamii.

Sina nia ya kukwambia my things Bali tu elewa unaposikitikia jambo wengine walishalia machozi ya Damu. Then lastly I got an idea, Kwamba Kama wanaume wenzangu wanachonga penseli zao humo kwani kichongeo wanakivunja? Waache wachonge wapendavyo maadam kichongeo Kina nguvu ok. Hapo nikawa flexible, nakumbuka was 2008. Then from that time nikapush Kwenye maendeleo sikuwa Na stress tena

mmmhhh wewe kweli mwanaume maana umefanya maamuzi magumu, ila kumbe kuna wanawake wakorofii eeeeh daaah!! pole sana yaani mtu night shift then ukienda unaambiwa hayupo job na leo yuko off??? aiseeee ...................
 
  • Thanks
Reactions: awp
Back
Top Bottom