Nataka kuvunja ndoa msaada wa ICT plz.

Je umri wako ni kati ya hawa (https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/521202-wanaume-vijana-20s-35-wanaboa-sana.html), bora mimi sijafika huo umri. Hii inaweza kuwa sababu ya mkeo kwenda kwa jirani
 
Kuna wanaume wana moyo aiseeeee......it takes so much kuwa na this kind of thinking......

huyo mkeo kweli PASUA KICHWA......

 
Reactions: awp
mpe kichapo had akufungulie facebook account yake
 
Hivi ndoa yenyewe haina mtoto, sasa unafungwa na nini kutoa uamuzi???mpaka uletewe magonjwa ndo utapata evidence????Jamani jamani mwanaume unatakiwa uwe na maamuzi. Kuna mda kwenye mapenzi nawapenda sana wazungu, wanakuwa wawazi sana na wanakuwa wepesi kufanya maamuzi!!!
 

Kuishi bila kushiriki tendo hakutampeleka mwanaume nae kutimiza haja zake nje ya ndoa na ikawa komoa ni kukomoe?
 

watakiaribu kwani vigumu vile wakipachika ngoma tu kwisha habari yake
 
Pole sana,
Wengi ndivyo walivyo miaka hii;
Vumilieni tu mwisho yatakuwa sawa.
 
Pole sana ndugu yangu ,pole sana ,hapo ulipoweza kugundua anakucheat hapo hapo anzia kutafuta evidence
sijui unasubiri nini kwenye hiyo ndoa hakia Mungu kuuwawa na ukimwi?
 


Pole sana! Unamapungufu tena makubwa .
Mkeo anakuwa changudoa alafu unajifaraji kisa watoto! Mkuu hata wale wasio na baba wala mama wanakua na kuwa watu wazito katika maisha .Ufedhuli kama huo haukubaliki na huyo shetani ashindwe!
 
kuna jamaa yeye alimnunulia mkewe simu mpya kama zawadi lakini ilikua na software ya kutrack location yake, na kuforward sms na simu kwa jamaa, so mkewe akipigiwa yeye anapata location yake, sms, na kuweza kusikiliza simu pia, ila tatizo lake alikua mhamiaji haramu mkewe akatumia hiyo kama kinga ikabidi wagawane mali kimya kimya and too bad the wife was a lawyer..ngoma nzito...jaribu kuangalia ni kwanini mkeo anakufanyia hivyo, kuna weakness ambayo anaitumia kama kinga kwake, ukishaijua jaribu kutafuta means za ku minimize risks then unavunja ndoa ukiwa na ushahidi tosha..
 
Sasa wewe "Majaribu.."hujaona kuwa hayo ni majaribu tu?
yawezekana hata hiyo mimba haikuwa yako; huyo mwanamke anakupenda na kukujali ndo maana anakutafutia TOTO la nje manake for 3yrs unamchafua tu!
Tulizana; manake huyo siyo kuku wa mayai eti!
 
Tunaoa basi tu nafikiri ni ufahali wa kijinga haiwezekani wanawake wawe hivi then tuwavumilie.................
 
Visa vingine vinarudisha nyuma harakati za kuingia huko, ninafikiria jinsi gani nitahimili kuishi na mtu ambaye najua kabisa analalwa na mwanaume mwenzangu, kweli sipati jibu.

Kwangu ni udhaifu mkubwa, tena sana kujua mke wangu wa ndoa anamegwa na watu wengine alafu upotezee, unawaza nini kiasi cha kupotezea? Labda kwa vile hivi visa ni vya upande mmoja, kungekuwa na uwezo wa kuwahoji walengwa, labda watu wangeshauri tofauti ila kwangu ni udhaifu mkubwa!

Yote kwa yote, poleni mlioleta visa vyenu!
 
Inaonyesha ni jinsi gani ulivyo umia pole sana tena sana..... Mungu akupe maamuzi ya busara bila kuzuliana.
 
Pole sana mkuu.Nikiona jinsi wake za watu wanavyomegwa kirahisi nakata tamaa na kuoa kabisa. You cant make a ----- a housewife!
 
nakuomba upunguze hasira kidogo, siyo salama kwa afya yako.umeksirika sana, kiafya wewe ndo unaumia.
 
hapo ndio ujue tumeumbwa tofauti tofauti, this is high level of tolerance
 
pole sana mkuu kwa maumivu makali. hakuna marefu yasiyo na ncha, mwombe Mungu atakuonyesha matendo anayoyafanya.
 

Acha 'mbwembwe'...kama umedhamiria kumuacha mkeo muache tu, usitafute sababu!
 
Mwanaume ni kama jogoo lisiloweza kufa kwa utitiri so jikaze kiume,fikiri mara mbili halafu fanya maamuzi yaliyo sahihi kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…