ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,649 Nov 16, 2011 #1 Kuna jambo nimetamani kulijua ila naogopa 'maneno' ntakayoporomoshewa naweza nikakosa usingizi wa leo!!!!!!!
Kuna jambo nimetamani kulijua ila naogopa 'maneno' ntakayoporomoshewa naweza nikakosa usingizi wa leo!!!!!!!
ossy JF-Expert Member Apr 7, 2011 872 143 Nov 16, 2011 #2 sema tu mkuu! hii ni home of great thinkers hawana noma>>>........
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 868 Nov 16, 2011 #3 uliza tu mdau. ukijibiwa poa, ukitukanwa vunga!
Chatumkali JF-Expert Member Sep 9, 2011 2,037 458 Nov 16, 2011 #4 Uliza tutakulinda na mashambulizi mkuu!
ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,649 Nov 16, 2011 Thread starter #5 nilishaambiwa mimi ni mkabila kwa kuwa nilikuwa nataka kujua ukweli wa kabila fulani la mkoa wa kaskazini mwa tanzania
nilishaambiwa mimi ni mkabila kwa kuwa nilikuwa nataka kujua ukweli wa kabila fulani la mkoa wa kaskazini mwa tanzania
Yericko Nyerere JF-Expert Member Dec 22, 2010 16,985 20,263 Nov 16, 2011 #6 Mficha maradhi kifo humuumbua, na mficha uchi hazai! Ila kwa mademu wa kileo hakuna anaeficha uchi!
ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,649 Nov 16, 2011 Thread starter #7 Jason bourne said: Mficha maradhi kifo humuumbua, na mficha uchi hazai! Ila kwa mademu wa kileo hakuna anaeficha uchi! Click to expand... huko umeenda mbali sana mkuu, mbona mnawaonea sana hao viumbe, why? Kama hawafichi basi kuna ambao nao hawafichi kama ilivyo kwa mademu
Jason bourne said: Mficha maradhi kifo humuumbua, na mficha uchi hazai! Ila kwa mademu wa kileo hakuna anaeficha uchi! Click to expand... huko umeenda mbali sana mkuu, mbona mnawaonea sana hao viumbe, why? Kama hawafichi basi kuna ambao nao hawafichi kama ilivyo kwa mademu
chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 203 Nov 16, 2011 #8 kama umeshindwa kuuliza basi huna jipya
Dena Amsi R I P Aug 17, 2010 13,082 4,260 Nov 16, 2011 #9 ndyoko said: nilishaambiwa mimi ni mkabila kwa kuwa nilikuwa nataka kujua ukweli wa kabila fulani la mkoa wa kaskazini mwa tanzania Click to expand... Sema usikike. Kama unaogopa mashushu ya watu usowajua we HUFAI
ndyoko said: nilishaambiwa mimi ni mkabila kwa kuwa nilikuwa nataka kujua ukweli wa kabila fulani la mkoa wa kaskazini mwa tanzania Click to expand... Sema usikike. Kama unaogopa mashushu ya watu usowajua we HUFAI
Mtambuzi Platinum Member Oct 29, 2008 8,810 15,393 Nov 16, 2011 #10 Mie nishjua ulitaka kuuliza nini! aisee nakuomba usije ukauliza hilo swali, utanangwa humu mpaka upate presha.............
Mie nishjua ulitaka kuuliza nini! aisee nakuomba usije ukauliza hilo swali, utanangwa humu mpaka upate presha.............
ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,649 Nov 16, 2011 Thread starter #11 Mtambuzi said: Mie nishjua ulitaka kuuliza nini! aisee nakuomba usije ukauliza hilo swali, utanangwa humu mpaka upate presha............. Click to expand... Hahahahaaaaaaaa! umejuaje kaka, au ndo tuseme umerithi 'mikoba' ya shekhe yahya nini.......................!
Mtambuzi said: Mie nishjua ulitaka kuuliza nini! aisee nakuomba usije ukauliza hilo swali, utanangwa humu mpaka upate presha............. Click to expand... Hahahahaaaaaaaa! umejuaje kaka, au ndo tuseme umerithi 'mikoba' ya shekhe yahya nini.......................!
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,596 5,787 Nov 16, 2011 #12 Kama unashindwa kuweka hapa hadharani. Wa-PM member wote. Wakujibu kwa njia hiyohiyo.
ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,649 Nov 17, 2011 Thread starter #13 Mzee said: Kama unashindwa kuweka hapa hadharani. Wa-PM member wote. Wakujibu kwa njia hiyohiyo. Click to expand... uko serious kweli?
Mzee said: Kama unashindwa kuweka hapa hadharani. Wa-PM member wote. Wakujibu kwa njia hiyohiyo. Click to expand... uko serious kweli?
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Nov 17, 2011 #14 Naona hapa tunauza kahawa kwa mtogole, napita tu mie na mipresha huwa stumii
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,076 Nov 17, 2011 #15 weka mambo hadharani.... Nalog off
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,188 Nov 17, 2011 #16 Uliza tukutafune mzima mzima tukashushie na konyagi.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,779 Nov 17, 2011 #17 Ndyoko usiulize kakangu. Amini mtima wako. Kahawa imeisha humu?