Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,645
- 155,016
Mtambuzi umejuaje?Mie nishjua ulitaka kuuliza nini! aisee nakuomba usije ukauliza hilo swali, utanangwa humu mpaka upate presha.............
Kwanza ndyoko alitaka tu kuuliza jinsia yake kama yeye ni mwanamume au mwanamke, maana tangu apate ugonjwa wa kusahau sau, kidogo swala la jinsia yake limekuwa tata
Last edited by a moderator: