Nataka kuuacha huu mzigo wa Milioni 18 humu M-Wekeza mpaka 2030, vipi nitapata kiasi Gani wakuu?

Nataka kuuacha huu mzigo wa Milioni 18 humu M-Wekeza mpaka 2030, vipi nitapata kiasi Gani wakuu?

Scared

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,847
Reaction score
17,503
Hii pesa Sasa hivi Sina matumizi nayo nataka kuuacha humu m wekeza Nije nitoe. Januari 2030 vipi mfumo wao wa compound interest nitaikuta ipo Bei Gani siku ya kuitoa
Screenshot_20250826-105333.jpg
 
Sasa we kusoma si unajua?
Hapo huoni neno kikokotoo ufanye mahesabu
Shida nini mbona hasira mkuu Mimi si nimeleta huu uzi Ili kupata ufafanuzi Kwa wadau
 
🤣🤣🤣🤣🤣 tushaona salio..... ila nikupe pole asee
 
Hasira unazijua ukiziona?

Nmekuuliza kusoma unajua, huoni hapo pa kupigia hesabu? Means hakuna logic ya wew kuja kusumbua wadau wakupigie hesabu wakati m wekeza wenyewe wana opt ya wewe kumaliza mahesabu yako.
Ningekua sijui kusoma ningekujibu naona unahasira zako Sasa usiziamishie kwangu pambana na Hali Yako mkuu kwani nimekulazimisha unipigie hesabu
 
Back
Top Bottom