Nataka Kupima...

Nataka Kupima...

Ahaha..mkuu endelea tu kuvuta kitu cha Arusha ila iyo mambo ya kuteleza potezea mangi...aya..
Ngakuesaleeeee kapime kwanza jombii ukiwa fiti/umeumia tujue moja.....cha arusha nakuja na sakapal kigamboni weekend hii ....lazima tuchome sana,,,Sakapal mama upo tayari???..Kuhusu kuacha pia nitajitahidi maana hata sasa hivi Njiode likindo linoru noru njikapaa Banaa..hahaha Njikapa mpaka ngama,Njikapa mfori kyokyi arwa....eeeh chi ngululu pfoe nyi mfori pfo upfu.....hahahahahaha Mentor nosecha shindo sycha ncho:llama:
 
Last edited by a moderator:
Nitakupm Mentor lakini uwe unajua kuishi na siri mpaka kifo ikiwa majibu yatakuwa the otherway nisikutangaze usinitangaze unaweza tunza siri hadi kifo labda niamue/uamue kutangaza mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
kila la kheri........kwani hadi leo hujatia maguu VCT centre
 
toka siku ile hujapima?nenda tu yaani kuishi kwa kujua afya yako ujanani raha kweli..ndo maana naringia papuchi yangu kwa raha zangu siku hizi...

Papuchi iko free from virus?? hongera yako.... sisi bado tunajikongoja. nitaenda kupima siku nikisikia dawa ya ukimwi imepatikana............
 
Ngakuesaleeeee kapime kwanza jombii ukiwa fiti/umeumia tujue moja.....cha arusha nakuja na sakapal kigamboni weekend hii ....lazima tuchome sana,,,Sakapal mama upo tayari???..Kuhusu kuacha pia nitajitahidi maana hata sasa hivi Njiode likindo linoru noru njikapaa Banaa..hahaha Njikapa mpaka ngama,Njikapa mfori kyokyi arwa....eeeh chi ngululu pfoe nyi mfori pfo upfu.....hahahahahaha Mentor nosecha shindo sycha ncho:llama:

mweeeehh!! huko kigambonino sasa, umejuajeeee??? yaani kitu kinapaa vibaya. Bange nibangue niende kigambonino week end na mentali zangu woteee, nawasubilia mwanaaa kitu mwaaa cha alushaaa mwanaaa (heheheheeee)
 
wapiiiiiii......hivi unazijua Genye wewe?yani mkipima game ni baada ya kupima mara ya pili???mmmmh..Embu ni-convince Lol

bana weee yaaani kifupi mie nilikuwa mkali genye mbele ya ngoma kwangu ilikuwa haina nafasi, akili ilikuwa haiwazi ngono kabisaa nikifikiria kuishi kwa matumaini weeeh nilikuwa nabana miguu hadi basi.
Umenikumbusha kuna wimbo ulikuwa unaimbwa shule na watoto watukuku, ''SIUZI MIMI WALA SITOI BURE, UNAIBANABANA ITALIWA NA NYENYERE''.
 
Hongera sana kwa ujasiri huo hiyo pia inaonesha unautendea haki mwili wako kuhusu kale kahuduma.

sanaaaa sitaki utani atii mbele ya hazina ya mwili wangu weeeh!! ndo maana unaona nimempa Obama vigezo na masharti muhimu kuzingatiwa.
 
hongera kwa uamuzi huo..nishapima tayari
Cynthia ebu niPM twende uko AMREF...




Ahaha..mkuu endelea tu kuvuta kitu cha Arusha ila iyo mambo ya kuteleza potezea mangi...aya..



Asante my dia..vp ushayafanya ww??!



Mh...mkuu ata kama sio mhalifu apa bongo ukimuona polisi unajihisi tu...

I like your second point... sakapal do ze nidful. Cc: watu8
 
I like your second point... sakapal do ze nidful. Cc: watu8

Ngoja kwanza twende kigambonino tukalipulize (ila mimi sitakiwi kuzidisha kilo 3 maana natarajia nisije nikaharibu bure mbegu yangu) kisha kila mmoja abanguke kivyake kutoka hapo ndo twaweza enda angaza sasa hapo hata ukiambiwa -ve au +ve wala moyo haushituki heheheheeee
 
sanaaaa sitaki utani atii mbele ya hazina ya mwili wangu weeeh!! ndo maana unaona nimempa Obama vigezo na masharti muhimu kuzingatiwa.

Usimpaishe sana obama wakati bado hujamuona wamogori, yaani ukiondoa umaarufu wa obama, wamogori ni zaidi ya obama.
 
bana weee yaaani kifupi mie nilikuwa mkali genye mbele ya ngoma kwangu ilikuwa haina nafasi, akili ilikuwa haiwazi ngono kabisaa nikifikiria kuishi kwa matumaini weeeh nilikuwa nabana miguu hadi basi.
Umenikumbusha kuna wimbo ulikuwa unaimbwa shule na watoto watukuku, ''SIUZI MIMI WALA SITOI BURE, UNAIBANABANA ITALIWA NA NYENYERE''.

Teh teh teh na ukizingatia ulivyokuwa unaogopa nyenyere ndio ikawa kisingizio cha kutoibana ili isijeliwa na hao nyenyere. Unanikumbusha mambo ya utoto nilipokua nawaangalia wadada wakicheza rede, wanajurusha halafu underwear ikionekana tunashangalia then wao wanajibu eti mmeona ganda tu wala sio nyama.
 
Nitakupm Mentor lakini uwe unajua kuishi na siri mpaka kifo ikiwa majibu yatakuwa the otherway nisikutangaze usinitangaze unaweza tunza siri hadi kifo labda niamue/uamue kutangaza mwenyewe

Kifua nnacho sana my dear..waiting...

kila la kheri........kwani hadi leo hujatia maguu VCT centre

Sijatia, unakumbuka kuna siku ulisema tutaenda halafu ukapotea mazima!??

Papuchi iko free from virus?? hongera yako.... sisi bado tunajikongoja. nitaenda kupima siku nikisikia dawa ya ukimwi imepatikana............
TANMO angalia utapotea bro...kujua afya yako ni muhimu sana. Au una uhakika kuwa ushaukwaa?

bana weee yaaani kifupi mie nilikuwa mkali genye mbele ya ngoma kwangu ilikuwa haina nafasi, akili ilikuwa haiwazi ngono kabisaa nikifikiria kuishi kwa matumaini weeeh nilikuwa nabana miguu hadi basi.
Umenikumbusha kuna wimbo ulikuwa unaimbwa shule na watoto watukuku, ''SIUZI MIMI WALA SITOI BURE, UNAIBANABANA ITALIWA NA NYENYERE''.

Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh...

u dont want me to spill ze beans here mentali..

hongera kwa uamuzi huo..nishapima tayari

Lini!?? na mbona kimya kimya ivo wangu?
 
Last edited by a moderator:
nilipima juzi kati tu hapa.. Mentor
saiv full amani
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh...

u dont want me to spill ze beans here mentali..

Weeeeeeh ushabangika eeehh, we mwaga hayo maharage upenuni uone mi ntafanyaje unanchokoza eeehhhh...................
 
mweeeehh!! huko kigambonino sasa, umejuajeeee??? yaani kitu kinapaa vibaya. Bange nibangue niende kigambonino week end na mentali zangu woteee, nawasubilia mwanaaa kitu mwaaa cha alushaaa mwanaaa (heheheheeee)
Worry it out ......wala isiwaze lazima tukakinukishe
 
Mi naenda na baby wangu pia ndio namsubiri twende Amref,,,,

It's foolish to fear what you can not avoid..

So no way out madam test lazima...

I like it, du hata mimi naungana nanyi, kunamahali nlipata raha ila mmmh!
 
Nitakusindikiza hapo ANGAZA ya AMREF...wanapima bure na kidude flani kimekaa kama kile wanachopimia mimba wadada...dk 15 tu unajua status yako

Mh...mkuu ata kama sio mhalifu apa bongo ukimuona polisi unajihisi tu...

I like your second point... sakapal do ze nidful. Cc: watu8
 
Hongera ubunifu mzuri, Vp lakini umewasiliana na mwenyewe juu ya hii Remix,.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom