Nataka Kupima...

Nataka Kupima...

nilipima juzi kati tu hapa.. Mentor
saiv full amani

Tunahitaji waasindikizaji lakini...

I like it, du hata mimi naungana nanyi, kunamahali nlipata raha ila mmmh!

Please kabla ya mapinduzi ya 2015...

Nitakusindikiza hapo ANGAZA ya AMREF...wanapima bure na kidude flani kimekaa kama kile wanachopimia mimba wadada...dk 15 tu unajua status yako

MH! we ndo mchumbake Smile nini mkuu?

Hongera ubunifu mzuri, Vp lakini umewasiliana na mwenyewe juu ya hii Remix,.

Ivi natakiwa kupata legal documents??!
 
Last edited by a moderator:
Umeshaenda tayari? Mimi namsubiri The Boss niende nae..!

Mh Neylu kirahisi hivi..natafuta wasindikizaji. Halafu sidhani kama ni good idea kwenda katikati ya wiki sitaki kumtia hasara bosi wangu!

Nnachofanya ni kumuandaa kabisa replacement in case..just in case!!!
 
Last edited by a moderator:
teh teh!!....AMREF hapo ni sehemu maarufu kaka​watu kibao tu washwahi kupima hapo....

Ila hujajibu swali!

Eniwei, hongera kaka...she sure is something!!!!:clap2::clap2::clap2:
 
MM NAMSUBIRI Excellent twende kupima ila atanza yeye halafu mm ..............?
Mh Neylu kirahisi hivi..natafuta wasindikizaji. Halafu sidhani kama ni good idea kwenda katikati ya wiki sitaki kumtia hasara bosi wangu!

Nnachofanya ni kumuandaa kabisa replacement in case..just in case!!!
 
Last edited by a moderator:
My Besame...sijaenda nafikiria kwenda weekend, vipi utakuwa na nafasi unisindikize!??

Yaani bado hujaenda tu mi amor, we kweli muoga au umeshaharibu sana? Ntakusindikiza ANGAZA, usijali kabisa..keshoz??
 
Kifua nnacho sana my dear..waiting...



Sijatia, unakumbuka kuna siku ulisema tutaenda halafu ukapotea mazima!??


TANMO angalia utapotea bro...kujua afya yako ni muhimu sana. Au una uhakika kuwa ushaukwaa?



Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh...

u dont want me to spill ze beans here mentali..



Lini!?? na mbona kimya kimya ivo wangu?

hukunikumbusha thatha kama ujuavyo nishajizeekea nasahau mapema
 
hee hee si ulisha opolewa humu?
umeachwa?

Sshhhhhhhhhhh........... Nilikuwa nakutania..!! Hakuna zaidi yako..!

Nilikuwa nakurusha roho tuu.... Sina ujanja wa kukuacha..!
 
Sshhhhhhhhhhh........... Nilikuwa nakutania..!! Hakuna zaidi yako..!

Nilikuwa nakurusha roho tuu.... Sina ujanja wa kukuacha..!



pole sana
nakuona ulivyo konda hadi nasikia huruma lol
karibu nyumbani lol
 
pole sana
nakuona ulivyo konda hadi nasikia huruma lol
karibu nyumbani lol


ASANTE Saaana...! Leo nitakula nishibe..! Usifanye mchezo na kupenda jamani..!

Umenipa raha sana kwa ukaribisho huu...!! Lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom