Cynthia Chriss
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 478
- 241
Rura kumbe umepunguza ?me nafikiri umeacha jamani me nataka nisindikizwe na wakaka 2 hapa jf sijui watanikubalia?
Nakumbuka nilikua sijawahi panda Teksi kwa muda mrefu ila that day nilipanda Tax mpaka job nikampatia HR majibu yake....From that day nimepunguza kama si kuacha kabisa Ngono zembe.
hehehe!! Nimeacha na siku nikizidiwa no Kuteleza lazima nitupie kitu cha Rough Riders kama siyo Durex....hehehe..Kusindikizwa tena hahaha hapana Aisee we jisogeze kimya kimyaRura kumbe umepunguza ?me nafikiri umeacha jamani me nataka nisindikizwe na wakaka 2 hapa jf sijui watanikubalia?
wapiiiiiii......hivi unazijua Genye wewe?yani mkipima game ni baada ya kupima mara ya pili???mmmmh..Embu ni-convince LolHaahahahahaaaaaa yaaani nimecheka kidogo nigonge gari ya mbele looh wacha niweke hii mulimuli pembeni hadi nifike home aaah!! jamani kuna watu mnavituko sana.
Ni vizuri kupima mie wakati wa uschana wangu kivulana kikifanikiwa kuniimbisha nikalainika nilimwambia twende angaza hutaki wahi mbele kwa njia hii walijitosa 3 tuu kwenda kupima wengine wote walisema hata sikupendi kwanza mbaya hahahaaaa nikawa nacheka ila nashukuru mungu ndo njia iliyoniweka salama hadi hii leo, na tukipima game ni baada ya kupima mara ya pili chezeiya saka weye looh
Mh! urefu wa prof. maji marefu
Thanks bro...waite na Mrembo by Nature, mimisa, christine ibrahim, sakapal, Kaunga, mzabzab, Mtambuzi, Asprin, dr. watu8, Elli, Rural Swagga ...et al..
Naomba utusindikize Smile...:A S 20:
Kwani hapo amref mkifika mnakaribishwa na soda pia au?
Mie napima kila mwezi mara moja, hapa nilipo ninaishi kwa matumaini...hope mmenisoma.
Tell me your not serious!
Kama ni kweli,,,I like your confidence.. We ni mkali
Kwani kunishikia bango mwana wa mwenzio, mie huwa napima kila baada ya miezi sita niko safi labda mentali
Kipi kipya, ukipima ukijua uko negative si unaishi kwa matumaini kwamba u mzima?? au umeelwaje??
Matumaini yako nilielewa matangazo ya ukimwi yanavyomaanisha wanaposema tunaishi kwa Matumaini,, maana yako nilikuwa sijaielewa
Rura kumbe umepunguza ?me nafikiri umeacha jamani me nataka nisindikizwe na wakaka 2 hapa jf sijui watanikubalia?
hehehe!! Nimeacha na siku nikizidiwa no Kuteleza lazima nitupie kitu cha Rough Riders kama siyo Durex....hehehe..Kusindikizwa tena hahaha hapana Aisee we jisogeze kimya kimya
Hongera Mentor kwa maamuzi magumu....
My dia..wewe ni mmojawapo niliotegemea wanisindikize...twende basi on ur next trip.
NATAKA KUPIMAAyayayaya .
We niache niende..niende niende .
Usiniulize kwanini sababu utanizingua, ukitaka jiunge na mimi mara ya mwisho ni lini we ulipima
Mi mwanzo sikuamini nikajuaga siezi ukwaa, kumbe mjinga ni mimi nayekula maganda meyatoa.
Oh uzinzi uzinzi ulinifanya Muumba nikamzoea vibaya
Mi siezi pitisha hata siku bila kumuona Tina
Oh uzinzi uzinzi ulinifanya Muumba nikamzoea vibaya
Na nina wengi ah..nimewapitia peeku.
Nataka kupima (PIMA)
Mi nataka kupima (PIMA)
Nataka kupima (PIMA)
Nikikutwa nianze dozi!!!!!
Ayayayaya .
We niache niende..niende niende .
Mi kwa uzinzi tajiiri, nkajivisha na taji la ubingwa
Sijali vimini-mini, ama wageti wanaofugwa ntawaomba
Kumbe wenzangu na mimi ni bure tu nlijisumbua
Wengine kama ishirini waliomba wakapewa na kavu wakagonga.
Oh uzinzi uzinzi ulinifanya Muumba nikamzoea vibaya
Mi siez pitisha hata siku bila kumuona Tina
Oh uzinzi uzinzi ulinifanya Muumba nikamzoea vibaya
Na nina wengi ah..nimewapitia peeku.
Nataka kupima (PIMA)
Mi nataka kupima (PIMA)
Nataka kupima (PIMA)
Nikikutwa nianze dozi!!!!!
Ayayayaya .
We niache niende..niende niende .kupima..kupima
Wasalaam wapendwa,
Mentor!
NB:
Nimekaa nikafikiri, nimekuja kugundua WE ONLY LIVE ONCE..but if you live it right, ONCE IS ENOUGH. Nisingependa mwingine aje kuimba huu wimbo kama mimi.
Jitafakari then jiulize, NATAKIWA KUPIMA? Nafsi ikikataa kwenda jiambie tu moyoni, Ah, namsindikiza Mentor..then, CHUKUA HATUA!!!!!
Asante my dia..vp ushayafanya ww??!
Heeeeh nilidhani mnasindikizana na mkeo? swala la kupima si la kwenda dada na kaka bali mtu patna wake. Mimi nitaenda na patna wangu wa kwenye jaza nafasi iliyoachwa wazi (...........)
ngoja nikuchagulie tusi
mi nshapima japo haikuwa ya hiyari ni kukamatwa kwa nguvu...