AhahaNenda baba nenda safar njema.
Usisahau kupitia hapa karanga, mihogo na mapera ya kulia njiani
Ghalama kubwa ni jinsi ya kupokea majibu lau kama viloba visingepigwa malfuku ningalikushauri ubebe ili wakati wakusubili majibu uwe unajimiminia labda ungestahamili ktk kupokea hayo majibu maana kwa jinsi nimjuavyo huyo mpenzi wako sizani kama utanusulika na hiloNimekuwa na wasiwasi kutokana na kutomwamini mpenzi nilie nae hivyo nahitaji kwenda kupima UKIMWI. Je ni hospitali ipi ambayo vipimo vyao ni vya uhakika na je huwa kuna gharama yoyote ile ya kupima ukimwi au huwa ni bure?
Yeye anaishi akheraHaliyekwambia duniani kuna ukimwi nani?
sasa si upime tu jamaniii auuuNimekuwa na wasiwasi kutokana na kutomwamini mpenzi nilie nae hivyo nahitaji kwenda kupima UKIMWI. Je ni hospitali ipi ambayo vipimo vyao ni vya uhakika na je huwa kuna gharama yoyote ile ya kupima ukimwi au huwa ni bure?
hahahahGhalama kubwa ni jinsi ya kupokea majibu lau kama viloba visingepigwa malfuku ningalikushauri ubebe ili wakati wakusubili majibu uwe unajimiminia labda ungestahamili ktk kupokea hayo majibu maana kwa jinsi nimjuavyo huyo mpenzi wako sizani kama utanusulika na hilo
kwingine ni buree kwingine pesaNimekuwa na wasiwasi kutokana na kutomwamini mpenzi nilie nae hivyo nahitaji kwenda kupima UKIMWI. Je ni hospitali ipi ambayo vipimo vyao ni vya uhakika na je huwa kuna gharama yoyote ile ya kupima ukimwi au huwa ni bure?