Nataka kupima UKIMWI

Nataka kupima UKIMWI

Nenda Duka la dawa kuna Vifaa cha Kupima utanunua utajipima mwenyewe ukiona shwari huna .sasa ndio tutaenda Na. Mpenzi wako hospitalini
 
Punguza wasiwasi nenda kapime ili upate kujua mbivu na mbichi. Ila usimuache huyo usiyemuamini nenda naye mkapime wote.
 
kupima ni bure.. nenda hospital yoyote wanapima kwa uhakika... hiyo hela uliyotaka kulipia nunua dumu la maji ili yakikukuta waweze kukumwagia uzinduke!
Hahaaa! Wacha kumtisha mana keshasema hamwamini aliye naye.
 
Kupima ni muhimu ingawa kuna jamaa yangu anasema hawezi kupima maana itakuwa ni kujitafutia kufa mapema
Mshauri akapime, kuishi bila kujua wakati kinga inazidi kupungua ndo kujitaftia kufa mapema
 
Punguza wasiwasi nenda kapime ili upate kujua mbivu na mbichi. Ila usimuache huyo usiyemuamini nenda naye mkapime wote.
Naanza mimi kwanza, majibu ntakayoyapata ndo ntamweleza
 
Unachoenda kukitafuta ili ukione mwilini mwako utakipata
Nenda baba nendaaaaa
Nimepima jana, dah nilipata dehydration kubwa kweli, hadi majibu yalipotoka aiseeee, inataka moyo ila nimefurahi baada ya hapo.
 
kupima ni bure.. nenda hospital yoyote wanapima kwa uhakika... hiyo hela uliyotaka kulipia nunua dumu la maji ili yakikukuta waweze kukumwagia uzinduke!
Umenichekesha sana mkuu sijui kwa nini hili tatizo la UKIMWI limekuwa si la ujasiri kama kwenda kupima malaria japo mbali na kutokuwa na dawa.
 
Back
Top Bottom