Hongera sana mkuu.Nimepima jana, dah nilipata dehydration kubwa kweli, hadi majibu yalipotoka aiseeee, inataka moyo ila nimefurahi baada ya hapo.
Na mrejesho uleteNimekuwa na wasiwasi kutokana na kutomwamini mpenzi nilie nae hivyo nahitaji kwenda kupima UKIMWI. Je ni hospitali ipi ambayo vipimo vyao ni vya uhakika na je huwa kuna gharama yoyote ile ya kupima ukimwi au huwa ni bure?

Asante sana ila dah asikwambie mtu AiseeeeeeHongera sana mkuu.
Ghalama kubwa ni jinsi ya kupokea majibu lau kama viloba visingepigwa malfuku ningalikushauri ubebe ili wakati wakusubili majibu uwe unajimiminia labda ungestahamili ktk kupokea hayo majibu maana kwa jinsi nimjuavyo huyo mpenzi wako sizani kama utanusulika na hilo

Hivi inakuaje unapima mara ya kwanza, unaenda tena ya pili, ya tatu, ya nne, ya tano....... n.kuendelea utakuwa unatafuta nini jamani

Kama umeathirika kuna mengi unaweza kuyaokoa katika afya yako baada ya kupima.Kupima ni muhimu ingawa kuna jamaa yangu anasema hawezi kupima maana itakuwa ni kujitafutia kufa mapema
sasa ukiwa unapima mara kwa mara ili uambiwe una ukimwi au unataka nn....Hongera kwa kuchukua uamuzi huo. Ni vizuri kupima mara kwa mara