scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 454
- 314
Kichwa cha habari hapo juu chahusika
Baada ya kupata kazi na kuwa na uhakika wa kipato sasa nataka nishughulike na kutafuta mwili maana sifurahii huu wembamba japo sina maradhi yoyote yanayoweza sababisha hivi.
Mimi ni kijana wa miaka 27 sijaoa naishi mwenyewe.
Sasa nataka kuongeza mwili fasta ni njia ipi niitumie au diety gani niitumie ili niongoze mwili angalau maana nmeamua kuongezeka mwili kiwe kipaumbele changu cha kwanza baada ya kupata kazi na sio kuvuta jiko.
Naomba mwenye ushauri anipe ntafuata ilivilivyo.
N. B.
Gharama kwangu sio issue
Njia ziwe za fasta.
Baada ya kupata kazi na kuwa na uhakika wa kipato sasa nataka nishughulike na kutafuta mwili maana sifurahii huu wembamba japo sina maradhi yoyote yanayoweza sababisha hivi.
Mimi ni kijana wa miaka 27 sijaoa naishi mwenyewe.
Sasa nataka kuongeza mwili fasta ni njia ipi niitumie au diety gani niitumie ili niongoze mwili angalau maana nmeamua kuongezeka mwili kiwe kipaumbele changu cha kwanza baada ya kupata kazi na sio kuvuta jiko.
Naomba mwenye ushauri anipe ntafuata ilivilivyo.
N. B.
Gharama kwangu sio issue
Njia ziwe za fasta.