Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,483
- 40,498
Haya mambo ni pasua kichwa huwa ni kubahatisha;nakumbuka miaka ya nyuma wakati natafuta mke,nilikuwa nakwenda kuwatembelea kwenye vyuo vyao...lakini sikubahatisha;mwisho wa siku nikawa nafanya kazi kwenye taasisi moja...katika matembezi tembezi ndio nikakutana na mrs equation xMimi mwenyewe zamani nilikuwa nimekariri kwamba nitafute mwalim au nesi ndio nioe.
Basi ikawa kila nikichunguza naona wote chenga.
Mwisho wa siku nikaja kumpata mke mwenye vigezo na mtulivu sana,hakuwa mwalimu,nesi wala mwanasheria.