Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,123
- 173,969
Hahahah mchawi mjapani tu. Hapo ukute kijamaa chake nacho ni kiticha lazma kilizwe tu.😂😂😂Ila wkt mwingine ni wepesi sana kuliwa kuliwaliwa..akiona una pesa vya kubadilisha chakula
Hahahah mchawi mjapani tu. Hapo ukute kijamaa chake nacho ni kiticha lazma kilizwe tu.😂😂😂Ila wkt mwingine ni wepesi sana kuliwa kuliwaliwa..akiona una pesa vya kubadilisha chakula
Unatakiwa unioe ndio uwe rais.Niombee nami niwe Raisi ili nikuoe.
😂😂😂😂😂😂 ila kweli, walimu wengi wana nyota ya uraisi. Ukioa tu umeula ila Janeth ndio sanaUnatakiwa unioe ndio uwe rais.
Umeona sasaila kweli, walimu wengi wana nyota ya uraisi. Ukioa tu umeula ila Janeth ndio sana
😂😂😂khaaaa! Jamani, meshindwa kuvumilia, Mungu anakuona😂😂Usiku wanaweweseka sana utasikia
A e i o u, utasikia we swalehe acha kupiga kelele
Upo tayari ?!
unawaharibia walimu fursaDhambi zipi tena mkuu
Ha ha haa,ila we jamaa we we..daaAna hela?
Umeshindwa kuvumilia nn mkuu wangukhaaaa! Jamani, meshindwa kuvumilia, Mungu anakuona
ila kweli, walimu wengi wana nyota ya uraisi. Ukioa tu umeula ila Janeth ndio sana
Oa nurse,
Mwl yupi? Nyerere au mbona una laana wew unaweza kumuoa baba wa taifa au mama maria????!!!!!