Rijali jandoni
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 1,883
- 1,902
hao ndio hawana mambo mengi kimbilia secondary mku ila yote heriSitak wa primary
hao ndio hawana mambo mengi kimbilia secondary mku ila yote heriSitak wa primary
Hao ndio sio kabisa wakienda shift ya usiku wanapigwa miti huko huko.Wanawake wazuri kuoa mie naona manesi.manake atakupa pole kwa jambo lolote atafikiri anampa pole mgonjwa aliemdunga sindano ya tako.
Kweli mkuu Kuna kimwalimu fulani akisafir kwenda mkoa akirud utaona ananipigia simu nimerud tayar Niko dar,anataka nimtafute nikampe dozi.Ni warahisi
Mwalimu wa nini? Anaweza akawa anafundisha karate.
Hajui kuwa "kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani"Ukiangalia profession ya mtu itakula kwako. Angalia kama ana vigezo uvitakavyo.
Kamuoe boss wao ndalichako
Duuu nikikumbuka walimu bilivyokuwa nikiwatafuna nikiwa Advance,hata sikushauri.Wanahuruma sana na inakuwa rahisi sana kuwanawa
Walikuwa wale kipind cha mwalimu nyerere Hawa wasasa mapenz yako whatsaap na insta hata shule kufundisha tabuHabar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume
Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
Walio oa walimu waseme ukweli wao hapo, wasimfiche mwenzao
Ukiangalia profession ya mtu itakula kwako. Angalia kama ana vigezo uvitakavyo.
Kamuoe boss wao ndalichako
Oa tu shemeji wala usiwaze mara mbili, hapo ni mahali salama.
Sanaaa, hebu kamuulize MboniKumbe siku hizi kudumu ama kutodumu kwenye ndoa inategemea na profession ya mtu? sikujua hili nilidhani inategemea na mtu mwenyewe.
Kweli mkuu Kuna kimwalimu fulani akisafir kwenda mkoa akirud utaona ananipigia simu nimerud tayar Niko dar,anataka nimtafute nikampe dozi.
Hajui kuwa "kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani"
Walikuwa wale kipind cha mwalimu nyerere Hawa wasasa mapenz yako whatsaap na insta hata shule kufundisha tabu
Alfu mwanamke haolew kwa Kaz yake bal mwanamke kumpata alieo Bora Ni mpaka baada ya kuoa ndio utajua Ni aina gani ya mwanamke umepata
Mkuu Oa mwanafunzi kama unamashaka na mwalimuHabar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume
Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
Ticha ndio wenyewe bhanaJk anamiliki ticha
Jpm anamiliki ticha
Majaliwa anamiliki ticha
Unasubiri nini wewe mwanaizaya??