Mara 5 na kuachika.
Ticha piaMagufuli nae
Mara 5 na kuachika.
Hata mi sijuiKwann sasa
Una mihelaa?Nikuoe mara ya6 bhs
Ticha pia
Pana Siri nzito na maticha
Hata mi sijui
Hii ilikuwa kwa binadamu wa zamani mkuu kwa sababu hawakuwa na tamaa mkuu.walimu, manesi wana upendo sana. Na ni walezi wazuri wa familia.
Una mihelaa?
Umesema ukweli mkuu,siku hizi hakuna kukariri inabidi uchekeche sana kichwa chako ukifanya kwa kukariri tu umeliwa.Ilikuwa zamani hiyo,kwa sasa ni bahati nasibu
Haya ngoja nikashone gauni la sherehe.Pesa so shida mama
Chakula cha maafisa utumishi na makatibu tsc wilayani hao
Haya ngoja nikashone gauni la sherehe.[/we kwel ticha
Mwingine angetaka la shop cost iwe kubwa
Ila nyie mnakula sana wanafunzi
Ni kweli mkuu,kila mmoja anataka maendeleo mazuri,mambo ya kushika chaki na kuishia kwenye ugonjwa wa pumu hauna tija.Umesema ukweli mkuu,siku hizi hakuna kukariri inabidi uchekeche sana kichwa chako ukifanya kwa kukariri tu umeliwa.
Mimi mwenyewe zamani nilikuwa nimekariri kwamba nitafute mwalim au nesi ndio nioe.Ni kweli mkuu,kila mmoja anataka maendeleo mazuri,mambo ya kushika chaki na kuishia kwenye ugonjwa wa pumu hauna tija.