The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,883
will makes???? Shule za kayumba nazo!!!<br />
<br />
kujua lugha na kuwa na knowledge ni vitu viwili tofauti.....
Tazama wachina....
will makes???? Shule za kayumba nazo!!!<br />
<br />
<br />Sio shule za kayumba, huko ni kuchamba kwingi mwishowe kushika MAVI.
1.Unapofikiria kuoa jiulize kwanza, je?? ninauwezo wa kumudu mambo muhimu ya kimaisha??? kama chakula, malazi na mavazi?.Wana FJ nataka kuoa lakin cjapata kazi bdo mnaniambiaje niingie hafu kitaeleweka humohumo!!.
..Bwa haha hhaa hili nalo neno.Hela ya mahari unayo?
<br />Oa kama mke atakuwa na job wewe utabaki unaosha vyombo na kufanya usafi home,tena kutakuwa hamna haja ya housegirl.
<br />Wana FJ nataka kuoa lakin cjapata kazi bdo mnaniambiaje niingie hafu kitaeleweka humohumo!!.
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
On a more serious note inamaana mamilioni ya vijana wasio na ajira wasioe hadi watakapo ajiriwa? The society is surely headed for crisis.
<br />Lakini si umeelewa anachomaanisha? tatizo letu waswahili tunakosoana sana, ndio maana tunaona aibu hata kujifunza coz tutachekwa
<br />Wana FJ nataka kuoa lakin cjapata kazi bdo mnaniambiaje niingie hafu kitaeleweka humohumo!!.
Avae gamba!<br />
<br />
Fanya maamuzi magumu
Harusi ndio kuoa? Au nikusumbua bajeti za watu zikusaidie kwenye mzagamuoKweli kabisa atafute kazi kwanza kuoa utaoa tu, maana kama huna kazi hata hiyo harusi unategemea ufanyiwe kila kitu?