Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,590
- 20,901
-panda kwanza mti wa mkungu nje kwako..
ukishapanda nijuze hapahapa live nikupe next stage..all the best..
ukishapanda nijuze hapahapa live nikupe next stage..all the best..
Ukisikia umbea ndio huo
Hujaitwa humu kuchangia
Hahahaha inawezekana mkuu!!Shiiiii, usimshtue, hapo inaongea cocaine kichwani.
Na wewe unajuaje kama mm ni binadamu?Be careful with what your wishing for. Usiandike kitu kutufurahisha sisi Badae ukapata madhara ukiwa peke yako, sio kila member humu jf ni binadamu. NOTE THAT.
Jifunze kuandika kwanzaWewe utakuwa ni mvurana sio mwanaume.
Kwani ni lazima niamini unachoamini wewe?Silishangai sana wazo lako.Hilo jina lako HR 666 linaonyesha wazi kwamba inawezekana tayari una uhusiano na hayo madude na uko on duty kuwashawishi wanadamu wayaoe.Hata hivyo be careful,kwa kuwa unachokifanya ni against God's will na kuna hukumu mbaya na kali baadae.
Utanisaidia bure au na hela?Kama utaweza Fanya utaratibu wa kunitafuta nitakusaidia kwa ilo kwangu ni swala dogo ukitimiza vigezo na masharty
Fanya yako nduguNilikuambiaga Acha Utoto dogo.
Unatia aibu mkuu.
Kama upo chuo duuuuuuu kazi kweli kweli.
Unawaza mambo ya ujinga(sio tatizo) tatizo ni kuyatoa mbele ya Halaiki. Kazi kweli kweli
Umechangia uzi wa killaza inamaanisha na wewe ni kilazzakacheze na watt wenzako fb vilaza hawajagi jf
Ndio uache utoto dogo siku nyingine utaombwa 0713Fanya yako ndugu
Kwani umekuja JF kutafuta ya wenzako au kutafuta yanayokuhusu?
Ndio kwani kula vyakula vya ujinini kuna ubaya gani?Mpaka anajua navyakula vyao itakuwa na yy ni jini ndo mana anataka kuoa jini mwenzake
Wewe ndiye mtoto na mawazo yako pia ya kitoto na ndio maana ukianzisha uzi haupati views wa kutosha walla replies za kutoshaNdio uache utoto dogo siku nyingine utaombwa 0713
Hahahahaa!!Wewe ndiye mtoto na mawazo yako pia ya kitoto na ndio maana ukianzisha uzi haupati views wa kutosha walla replies za kutosha
So kubishana na mimi nitakuwa najishushia heshima
Mm nyuzi zangu zingine zina views mpaka 30K wewe ushawahi kufikisha??