Nataka kuoa Dada wa Mo Dewji (Fatma Dewji)

Nataka kuoa Dada wa Mo Dewji (Fatma Dewji)

Regent

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2020
Posts
2,306
Reaction score
3,576
Wadau Salam

Nampenda sana Dadayake Mo Dewji anaitwa Fatma Dewji nina nia naye ya kumuoa kujenga malengo pamoja.

Ninawezaje kukutana naye kwa urahisi ili ku-propose dhamira yangu kwake.

Nafikiri nina Hold mengi ya kufikisha kwake na atayapokea.

Nawasilisha
 
Ni binti wa Kihindi yule, huwa wanachumbiwa na wahindi wenzao.

Labda ungemuwazia yule CEO wa Timu ya Simba, nae anafaafaa akijipodoa huwa ananoga sana.
Atabadiri msimamo niki deliver what I hold withing
 
Daa kweli mapenzi upofu,demu ni flat screen sijawahi ona!,ila sio mbaya jamaa utakuwa unachezea unywele usinga ,sie wenzako twachezea wowowo
It come automatic
 
Weka picha yake!

JAPO UME FUATA HELA NA title tu,

UTAMU NI ULE ULE SAWA NA UNAPO GEGENDA KWA SASA.

Achana na huko kwa Fatma utakuwa BWEGE
 
Kuna binti mmoja mtoto wa Waziri fulani...

Nilimtongoza ...
Nkamwambia malengo yangu nae...

Jibu alilonipa baba yako na baba yangu wakikaa pamoja watazungumza nini Cha maaana.
Ukajibuje?
 
Wadau Salam

Nampenda sana Dadayake Mo Dewji anaitwa Fatma Dewji nina nia naye ya kumuoa kujenga malengo pamoja.

Ninawezaje kukutana naye kwa urahisi ili ku-propose dhamira yangu kwake.

Nafikiri nina Hold mengi ya kufikisha kwake na atayapokea.

Nawasilisha
Nakuombea na hongera shemeji yake Mo
 
Mkuu unataka na yeye aondoke kwenye familia y Dewji kama Prince Harry? Halafu na wewe uje usingizie ubaguzi not to that extent ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom