How do you know kama hana kibanda? poverty thinking kwa kuwa wewe huna unafikiri kila mtu hana, hapa mtoa mada kaomba ushauri wa simu sio wa namba ya ku prioritise matumizi yake, ndio maana mkataka kuwe na div 5, mtaisoma namba mwaka huuSawa, lakini jiulize utapata faida gani ikiwa kwenu kijijini hauna hata kibanda cha mavi ya ng'ombe. Huoni kama hizo laki 7 zitanunua mavi ya ng'ombe ya kutosha pamoj na cement kujenga kibanda cha bibi yako?