GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
Unataka kuja kuomba kazi ya u house boy?
Nimekuweka kiporo kwa sababu maalumYap Mkuu na sitoishia hapo bali kwa Uwajibikaji wangu uliotukuka nitaomba pia part time ya kusafisha Uvungu wa Bidashi wako hasa kwa kupunguza Pori lake la Ihefu lililosheheni magugu na miba mingi. Na naweza nikafikiria kuomba tena part time nyingine Kwako ili angalau niwe nakupiga brashi ya hapa na pale.
Akili ipo tatizo ana maji mengiWakuu huyu dada namuhusudu sana natamani siku moja awe mke wangu tuwe tunapika na kupakua chungu kimoja.
Sababu kuu ya kumpenda huyu dada ni kwa sababu anajipenda ,anajiheshimu pia ana uwezo mkubwa sana wa kiakili
Amekuwa akiingia kumi bora za wanafunzi bora kitaifa kama kumi bora za darasani kwao vile
Alipokuwa kidato cha pili alikuwa wa kwanza kitaifa,alipokuwa kidato cha nne amekuwa wa pili kitaifa ,pia alipokuwa kidato cha sita amekuwa wa kwanza kwenye kundi la wasichana wanaochukua masomo ya sayansi kitaifa akitokea mchepuo wa PCM na alipata daraja la kwanza point 4,na alipokuwa kidato cha nne alipata daraja la kwanza point 7
Nipo radhi kumuhonga hata nyumba ili nimpate, naimani ndoto yangu itatimia
Mzee Kakoko najua upo humu ,natamani niwe mkwe wako
Hahaha...hayo maneno ya kichuga chuga yanakeraje mkuuYa
Yani wewe ni ndezi..
Nataka kuwa na nywele za kiarabuSawa nimekubali kuwa Mimi Mswahili Mkuu tena wala hujakosea nimezaliwa Mwananyamala, nimekulia Manzese, nimesomea Tandale na nimeyaanza maisha na hadi sasa naishi zangu huku Tandika. Ila naomba tu kujua mwenzangu Wewe unaishi uzunguni ipi kati ya hizo nilizokutajia?
Sawa nimekubali kuwa Mimi Mswahili Mkuu tena wala hujakosea nimezaliwa Mwananyamala, nimekulia Manzese, nimesomea Tandale na nimeyaanza maisha na hadi sasa naishi zangu huku Tandika. Ila naomba tu kujua mwenzangu Wewe unaishi uzunguni ipi kati ya hizo nilizokutajia?
Nimekuweka kiporo kwa sababu maalum
Umemtisti mkuu lakiniAkili ipo tatizo ana maji mengi
bado.Ushamweleza?