Nataka kumuoa Magreth Kakoko

Yeezus bwana badala uhuzunike jamaa yako yupo gerezani. Halafu vp mtoto chimpa anasemaje au ulisha mpiga chini
 
Naona ahadi yako ya kumpaisha imetimia sasa hatari yake ni kuwa umemwaga mchele kwenye kuku wengi tena wa soko LA tandale.....
Utakuja stukia wamemmega wengine kabisa si umewatamanisha mwenyewe
 
Naona ahadi yako ya kumpaisha imetimia sasa hatari yake ni kuwa umemwaga mchele kwenye kuku wengi tena wa soko LA tandale.....
Utakuja stukia wamemmega wengine kabisa si umewatamanisha mwenyewe
Lini tumekaa mimi na wewe nikakwambia kuhusu hili suala?

Umbeya wameumbiwa wanawake ,mwanaume ukiwa mbeya kuna walakini
 
Back
Top Bottom