Pm ya nini tena,unataka akakupe wewe!mtu kaweka jamvini si umshauri?plz check me through PM asap.
naombeni ushauri wenu katika haya maamuzi
Habari za humu jamani
mimi ni mwanamke nimeolewa miaka 5 imepita hatujafunga ndoa mume wangu ni mtu mzima kidogo ana miaka kama 49 na mm 26 bas nlishawahi kuomba ushauri meing humu na mkanisaidia
kwa sasa tunaishi kwa amani tabia yake ya ufataki sijui anaendeleza au kaacha cjui kwani simu zote ni pin ila ananipitia ofisini kwangu kila siku tunarudi wote!
tofauti iliyopo amekuwa mvivu tunaweza kukaa mwez au hata mwez na nusu bila kunigusa kabisa muda wote yupo bize na muv akirudi nyumbani
nmefikiria najihisi mpweke sana,nahisi nahitaji mtu wa kuniliwaza me ni mrembo sana kuna watu kama wa tatu wanantaka wawe na mimi kila mmoja ana sifa zake nafikiria kumkubalia mmoja wao angalau na mm nijihisi kama wanawake wengne.namis vitu vingi
naombeni ushauri wenu katika haya maamuzi
selling promotionhabari za humu jamani
mimi ni mwanamke nimeolewa miaka 5 imepita hatujafunga ndoa mume wangu ni mtu mzima kidogo ana miaka kama 49 na mm 26 bas nlishawahi kuomba ushauri meing humu na mkanisaidia
kwa sasa tunaishi kwa amani tabia yake ya ufataki sijui anaendeleza au kaacha cjui kwani simu zote ni pin ila ananipitia ofisini kwangu kila siku tunarudi wote!
Tofauti iliyopo amekuwa mvivu tunaweza kukaa mwez au hata mwez na nusu bila kunigusa kabisa muda wote yupo bize na muv akirudi nyumbani
nmefikiria najihisi mpweke sana,nahisi nahitaji mtu wa kuniliwaza me ni mrembo sana kuna watu kama wa tatu wanantaka wawe na mimi kila mmoja ana sifa zake nafikiria kumkubalia mmoja wao angalau na mm nijihisi kama wanawake wengne.namis vitu vingi
naombeni ushauri wenu katika haya maamuzi
Zawadi ya virusi vya HIV ama...???
Nyumba ndogo
hapo chacha rafiki amwache babu aendelee na kijana ila pesa mbaya sana usipokuwa na akili itakuendeshaHuyu atakuwa najamaa yake wa tangu enzi hizo wakiwa shule sasa kwakuwa natunzwa na mtu wa umri wa makamo anajifanya tumshaauri, aamue mwenyewe dhambi ni za kwake kwanini atafute mshauri mshirika?
ndo wale wasichana wanaotaka 3CS.Yaani Car Cash AND Care.wanakua tayari kuolewa na vibabu..kisa 3Cs.C tatu zote amezipata...lakini bado....anahitaji vingine........ajaribu kwengine...Msaliti tu.... Ila usilete ukimwi nyumbani... Yanakutokea puan ulikuwa hujui unaolewa na kibabu....