Nataka kumsaliti mume wangu

49 bado sana mimi nina 85 sasa na my wife wangu ana 30 lakini nikilianzisha hua anomba poo, angalia huenda kuna kitu kinamboa.
 
Inaonekana wewe ndo huna kitandani, cha kufanya si kumsaliti uyo mwanaume wako, ongeza mbwembwe mdada mbo hatarudi.
Nataka nku hakikishie kwamba kamwe huwezi shindana na mwanaume kwa uamuzi unaotaka chukua. Pia hujasema kama umezaa nae au laaa. Take care, utapotea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom