Inaonekana wewe ndo huna kitandani, cha kufanya si kumsaliti uyo mwanaume wako, ongeza mbwembwe mdada mbo hatarudi.
Nataka nku hakikishie kwamba kamwe huwezi shindana na mwanaume kwa uamuzi unaotaka chukua. Pia hujasema kama umezaa nae au laaa. Take care, utapotea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.