Nataka kumrusha mtoto darasa

Nataka kumrusha mtoto darasa

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,301
Habari wakuu,

Naombeni ushauri wenu.

Binti yangu ana miaka miaka Tisa yupo darasa la nne kwenye shule ya english media. Nafanya vizuri sana darasani, nataka mwakani baada ya matokeo ya darasa la nne nimpeleke kidato cha kwanza.

Wajuzi wa mambo mnaonaje hilo wazo langu?

Nini faida zake na hasara zake?

Kuna MTU amewahi kufanya hivyo?

With much thanx in advance
 
Umrushee? Akiumia?

Jus kiddin,
Hiyo inategemea na kichwa cha mtoto,
Unaweza kumrusha mtoti kutola la 4 labda mpaka la 6,au asimalize la 4 ukampeleka la 5 , ila hyo ya la 4 kwenda form 1, utampoteza kijana, kuna vitu ving muhimu vipo la 7 hatavijua, sikushaur kufanya ivo
 
Umrushee? Akiumia?

Jus kiddin,
Hiyo inategemea na kichwa cha mtoto,
Unaweza kumrusha mtoti kutola la 4 labda mpaka la 6,au asimalize la 4 ukampeleka la 5 , ila hyo ya la 4 kwenda form 1, utampoteza kijana, kuna vitu ving muhimu vipo la 7 hatavijua, sikushaur kufanya ivo
Thanx a lot mkuu kwa hiyo unashauri akifika la tano nimrushe aende la sita?
 
Habari wakuu,

Naombeni ushauri wenu.

Binti yangu ana miaka miaka Tisa yupo darasa la nne kwenye shule ya english media. Nafanya vizuri sana darasani, nataka mwakani baada ya matokeo ya darasa la nne nimpeleke kidato cha kwanza.

Wajuzi wa mambo mnaonaje hilo wazo langu?

Nini faida zake na hasara zake?

Kuna MTU amewahi kufanya hivyo?

With much thanx in advance
Mimi ni tofauti kidogo na mwanao ,mimi nilipofika la Sita shule iliniombea kibali cha kufanya mtihani wa la Saba maana nilikuwa nipo vizuri sana kwenye masomo na nilikuwa shule ya msingi za kayumba sio kama ya mwanao,lakini nilifanya mtihani wa la Saba nikafaulu nikaenda form one nikakaza msuri tena nilipofika form three nikaomba mtihani wa form four pia nao nikafaulu baada ya hapo nikaendelea kama kawaida mpaka chuo lakini dalasa la saba na form four sijasoma, ili mambo haya yote yanawezekana ikiwa ataombewa kibali kutokana na uwezo wake.
 
Habari wakuu,

Naombeni ushauri wenu.

Binti yangu ana miaka miaka Tisa yupo darasa la nne kwenye shule ya english media. Nafanya vizuri sana darasani, nataka mwakani baada ya matokeo ya darasa la nne nimpeleke kidato cha kwanza.

Wajuzi wa mambo mnaonaje hilo wazo langu?

Nini faida zake na hasara zake?

Kuna MTU amewahi kufanya hivyo?

With much thanx in advance
mrushe tu kama vip anavovisoma primary sio ni tofauti kabisa na secondary kwaiyo hakuna msingi wowote unaweza kumsaidia akiwa secondary kikubwa ajue lugha ata somo la kiswahili linalofundishwa primary na secondary ni vitu viwili tofauti hakuna msingi wowote kwamba mtoto inabidi apitie kwanza primary
 
Kuna madarasa ni ya muhimu kuyasoma..
Darasa la 2,4,6&7 ni ya muhimu.
Ungeanza kumrusha toka yupo mdogo.
Ila kumtoa la 4 hadi form one sio sawa kabisa. Utamuumiza mtoto.
Kama ni hivyo mpeleke darasa la 6 nusu mwaka then amalizie la 7 mwaka huohuo.
 
Kuna madarasa ni ya muhimu kuyasoma..
Darasa la 2,4,6&7 ni ya muhimu.
Ungeanza kumrusha toka yupo mdogo.
Ila kumtoa la 4 hadi form one sio sawa kabisa. Utamuumiza mtoto.
Kama ni hivyo mpeleke darasa la 6 nusu mwaka then amalizie la 7 mwaka huohuo.
Mkuu kwa 2 akisoma kwa muhula 1 kisha aende 3 imekaaje hiyo.
 
Habari wakuu,

Naombeni ushauri wenu.

Binti yangu ana miaka miaka Tisa yupo darasa la nne kwenye shule ya english media. Nafanya vizuri sana darasani, nataka mwakani baada ya matokeo ya darasa la nne nimpeleke kidato cha kwanza.

Wajuzi wa mambo mnaonaje hilo wazo langu?

Nini faida zake na hasara zake?

Kuna MTU amewahi kufanya hivyo?

With much thanx in advance
Mm nakushauri mpeleke asome la sita baada ya hapo umpeleke akafanye interview ya form 1 akafaulu aendelee sekondari tuu
 
Fanya utakavyofanya ila hakikisha Anapitia darasa la saba,bcoz hapo huwa records nying za wanafunz huifadhiwa kitaifa
 
Msiwachanganye watoto siku ya siku mzazi ukiwa haupo duniani mtoto akakosa pa kushika;
kila darasa lina umuhimu wake katika ufahamu wa mtoto.
 
Unachoweza kufanya hakikisha ukimrusha anayafanyia marudio kwa haraka, kumrusha haimanishi hasomi mambo fulani ni kwamba unamfundisha haraka akielewa basi anapanda hamna shida.
 
Mimi ni tofauti kidogo na mwanao ,mimi nilipofika la Sita shule iliniombea kibali cha kufanya mtihani wa la Saba maana nilikuwa nipo vizuri sana kwenye masomo na nilikuwa shule ya msingi za kayumba sio kama ya mwanao,lakini nilifanya mtihani wa la Saba nikafaulu nikaenda form one nikakaza msuri tena nilipofika form three nikaomba mtihani wa form four pia nao nikafaulu baada ya hapo nikaendelea kama kawaida mpaka chuo lakini dalasa la saba na form four sijasoma, ili mambo haya yote yanawezekana ikiwa ataombewa kibali kutokana na uwezo wake.
AISEEE HAKUNA TOFAUTI NA MIMI NA MIMI ILIKUWA HIVYOHIVYO
 
Mimi ni tofauti kidogo na mwanao ,mimi nilipofika la Sita shule iliniombea kibali cha kufanya mtihani wa la Saba maana nilikuwa nipo vizuri sana kwenye masomo na nilikuwa shule ya msingi za kayumba sio kama ya mwanao,lakini nilifanya mtihani wa la Saba nikafaulu nikaenda form one nikakaza msuri tena nilipofika form three nikaomba mtihani wa form four pia nao nikafaulu baada ya hapo nikaendelea kama kawaida mpaka chuo lakini dalasa la saba na form four sijasoma, ili mambo haya yote yanawezekana ikiwa ataombewa kibali kutokana na uwezo wake.
mimi sikusoma darasa la saba tu lakini form four nilisoma, na nilikuwa na uwezo wa kufanya mtihani wa darasa la saba hasa hesabu nikiwa darasa la nne
 
Kama unaangalia hapo hapo ulipo, maana yake umeona CHETI CHA DALASA LA SABA si muhimu! Hapo unajidanganya, Cheti cha darasa la 7 ni muhimu sana kuliko hata cha form 4 hata kwenye majeshi wanaaulizia sana cheti cha darasa la 7 hii inamaanisha inaondoa utata kwenye masuala ya Uraia.

Acha kumuwekea misingi.mibovu mwanao na baadaye aje akulaani. Mwache amalize shule ya msingi.
 
Ushauri wangu Kumrusha hadi Kidato cha kwanza sio vyema,Wakati mwingine huwa tunahadaika na hizi shule za Mfumo wa Lugha ya Kiingereza.Mtoto anaonekana anauelewa mkubwa sana bila kujua kuna baadhi ya Walim "Hupika"Matokeo ya watoto wetu na kuturubuni kuwa watoto wetu wanauelewa mkubwa lakini kumbe hakuna kitu.Au wakati mwingine mtoto akaonekana kweli anauelewa mkubwa akiwa na umri mdogo na kushawishika kumrusha darasa, pindi anapofika darasa tarajiwa mambo yanageuka na kumpoteza mtoto kabisa kwani anashindwa kuendana na masomo husika darasani na ukabaki kujuta imeshamtokea Shangazi yangu miaka ya huko nyuma.
 
Back
Top Bottom