na kwa kuitii kiu yangu life makes more senseuzuri wako marytina unapenda kutii kiu yako,............................
mimi nataka nimiliki mwenyewe na sio kushare na wengine
hela si nyingi ila zinaweza kuninunulia furaha
if not kwa kulea sasa umuhimu wa kwenda kazini upo wapi???
mimi ndiye buyer so najua ninunue yupi?nimekuuliza hapo mwanzo kuwa wanaume wa uswahilini utawaweza weye?
ligwaride lao utalimudu kweli?
tatizo ni kwamba wako addicted sana na ''jicho''
ulaaniwe!!!!!!!!!!!!!!!Ha ha haaa umenichekesha sana Nyani Ngabu! Anyway mie nipo mkuu wangu....Lakini hizi za kuishi pamoja
si dizain zangu....mie zangu ni kuchuna cash na kila mtu akae kivyake na si kugandana
mwanasayansi bongo!!oh oh..sorry guys..i'v just entered the wrong room...ngoja nirudi zangu tech-gadgets-and-science-forum..:A S 109:
<br />@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.<br />
<br />
wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana<br />
<br />
Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.<br />
<br />
Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN<br />
<br />
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka<br />
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
wewe ni baba yake shetaniNaungana na wewe mkuu
nina mtoto bomba ile mbaya na hana njaa lakini bado naendekeza midemu miganga njaa
i will consider<br />
<br />
Unamwitali YESU KRISTO maana anaweza kukupa mume aliyetulia'
Kwa staili hiyo ona sasa wanaume wangapi wamepita na bado unataka kujishusha hadhi mtu hafugwi kwamba awe wako tu' MUNGU WA MBINGUNI ndo anaweza kuwaunganisha mkawa kitu kimoja.
Acha tamaa ya ngono, jihimili mtegemee MUNGU, ia uo mshahara wako ni mdogo sana, jipange kimaisha saidia familia yako na kikubwa kumbuka kumtolea MUNGU WA MBINGUNI fungu la kumi.
NI KWELI WA MAWAZO YAKO WAPO TELEutanilipa bei gani kwa siku?koz unaonekana hujui mapenzi na unatumia pesa zako kama fimbo ya kumpigia mwanaume.walijichokea mbona hata mtaani kwenu wapo!!??.mi nataka niwe nakusugua kila unapohitaji.lakini kwa mkataba usiozidi miezi mitatu.nadhani utakua umempata anayekufaa kwa kipindi hicho.kumbuka mimi sijatulia kabisaa na hautakiwi kunionea wivu.huwa sikai na demu zaidi ya miezi3.nipm kama interested.mia
dont you have a brother from another mother unipatie??Usihòfu jitahidi watulivu wako wengi including me ila ndo nimewahiwa
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.
wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana
Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.
Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
unasemajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee??????????????????????????????????kwani lazima uwe na mwanaume?
be blessed samdaaaah pole mart.. but dont be so desperate! ukiwa desperate sana ndio unaibuka na dege lisiloliwa, piga moyo konde muombe mungu atasikia sala zako tu.. there is a lot of gud men out there!
sitaki hicho kirusi hata kama wanaume wote wapo occupiedKuna kijamaa kimoja kinatumia ID ya Mwita25' kitakufaa sana maana kama kimeajiriwa kuchafua Jamvi, sidhani kama kitashindwa hiyo deal
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.
wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana
Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.
Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN
nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
umenikumbusha Michellehivi marytina, shoga yako michelle anasemaje huko pande ya Arusha.................
mpe salamu zake bana......................