rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Salaam wakuu!
Nahitaji gari dogo la kukodi hapa DSM kwa ajili ya kuendea kazini mainly.
Nitaendesha mwenyewe au nikipewa na driver itakuwa bora,kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 6usiku maximum
Ni kwa miezi mitatu nalipa Tshs 14,000 kwa siku, yellow number au white ni sawa.Mafuta naweka mwenyewe.
Siongezi pesa ya driver ; cc 1100 mpaka 1500 maximum.
tuwasiliane kwa rakeyescarl@yahoo.ie au ni PM hapa.
Nahitaji gari dogo la kukodi hapa DSM kwa ajili ya kuendea kazini mainly.
Nitaendesha mwenyewe au nikipewa na driver itakuwa bora,kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 6usiku maximum
Ni kwa miezi mitatu nalipa Tshs 14,000 kwa siku, yellow number au white ni sawa.Mafuta naweka mwenyewe.
Siongezi pesa ya driver ; cc 1100 mpaka 1500 maximum.
tuwasiliane kwa rakeyescarl@yahoo.ie au ni PM hapa.