Nataka kukaa mbali na mtoto

Nataka kukaa mbali na mtoto

๐Ÿค—๐Ÿค—๐Ÿค—๐Ÿค—
๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ
 
๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ
Nakufata shangazi huniachi peke yangu hapa ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Shangazi nimeisha chelewa , maana hadi mzabzab nae katuma request
Wee endelea tuu mie nilipigwa kibuti mapema tuu. Alafu imagine ananikataa mie kumbe alikuwa ana date na single father ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hapa ndipo unapojua wanawake wanapenda kishare de libolo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Wee endelea tuu mie nilipigwa kibuti mapema tuu. Alafu imagine ananikataa mie kumbe alikuwa ana date na single father ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hapa ndipo unapojua wanawake wanapenda kishare de libolo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Mie kanipiga na pin PM basi tushakosa mkuu wangu.. tuwe wapole wapo wenye bahati zao.. sie wengine pangu pakavu, ukiwa hauna watoto wanawake hawakutilii maanani , unafikiri kwanini wanawapenda waume za watu ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ
 
Pole sana mjomba ila totoz mbona zipo nyingi tu hujaamua tu mjomba!
Toto zenyewe hazitutaki, totoz zikikuona huna familia huna mke, zinajua bado mwanfunzi ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ siku hizi totoz zinapenda wababa wenye familia zao wanakuwa na uhakika wa kuhudumiwa
 
Toto zenyewe hazitutaki, totoz zikikuona huna familia huna mke, zinajua bado mwanfunzi ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ siku hizi totoz zinapenda wababa wenye familia zao wanakuwa na uhakika wa kuhudumiwa
Toto zenyewe hazitutaki, totoz zikikuona huna familia huna mke, zinajua bado mwanfunzi ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ siku hizi totoz zinapenda wababa wenye familia zao wanakuwa na uhakika wa kuhudumiwa
Ndio nawewe uanzishe familia nae ili totoz kibao zikugande sasa mjomba fanya hivo!
 
Nakufata shangazi huniachi peke yangu hapa ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ
Mie Naenda kanisani mjomba!๐Ÿšถ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ
 
Sasa mie sina pesa acha nikuwe mpole shangazi yangu. Maana hela ndio kila kitu ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ bila hela hata utelezi upati
Utelezi hahahaaa... nimeona leo kule mmedamkia na mambo za Morning glory tu mjomba utelezi haujawahi kuwaacha salama kabisa!! Hii siku sijui kama itaisha salama lazima atelezwe mtu walai!

Weee pesa haziongei mjomba!! Ila wenye nazo mnaonekana tu mjomba!
 
Utelezi hahahaaa... nimeona leo kule mmedamkia na mambo za Morning glory tu mjomba utelezi haujawahi kuwaacha salama kabisa!! Hii siku sijui kama itaisha salama lazima atelezwe mtu walai!

Weee pesa haziongei mjomba!! Ila wenye nazo mnaonekana tu mjomba!
acha siku ndefu sana hii, hata pa kutelezea hapaonekanani tunabaki kung'aa ng'aa macho tu ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ wa kutuonea huruma hawapo
 
Back
Top Bottom