Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
Kuna redio inaitwa Redio Kwizera, kama clouds, karibu sana, tutafutane nikuonyeshe viwanja vya wanyarwanda,
Ntapenda tuwasiliane mkuu tutete Nina kitu nataka kukuuliza.Mzee
Umemuelezea vizuri sana. Yaani kama nakuona vile.
Umesema Kweli tupu, maana mkoa wa Kagera, Burundi na Rwanda kwa kiasi kikubwa ndiko mishe zangu nafanyia.
Umenifurahisha uliposema Wanyarwanda. Sipendi kuoa huku ila wazuri kwa kuwagegeda mno.
Mheshimiwa weye waishi rulenge?Kuongezea tu na Mimi haina haja ya kwenda Bukoba,panda gari ya Bujumbura shika Ngara (kama Taqwa bado zipo)
Nilikaa sehemu moja inaitwa Rulenge ,aisee hiyo sehemu ni nzuri kuliko 70% ya Tanzania hasa kama unap3nda kuishi mjini na kijijini na kwa wakati mmoja,pana maji ya uhakika ,kuna umeme,barabara ipo ya lami na barabara za mtaa ni full moramu inapitika mwaka mzima.Kuna shule ,kuna hospitali nzuri na kubwa na kabisa lina kama zaidi ya miaka 50, mkuu hadi kuna library.
Karibu pm kiongoziNtapenda tuwasiliane mkuu tutete Nina kitu nataka kukuuliza.
kazi kubwaUtakuta Na Antony Petro Yule Dogo Aliyempeleka Baba Yake Police
Mkuu nimekaa miezi miwili mwaka 2016Mheshimiwa weye waishi Lulenge?
Ukija likizo uitafute aiseeNataman sana kwenda hom dah
Utakuta Na Antony Petro Yule Dogo Aliyempeleka Baba Yake Police
Njema Sana aisee huko nako ni Ngara maana mi naenda halmashauri kuna ukaribu kama nafanya kazi hapo na garama za vyumba au nyumba inakuwaje.Kuongezea tu na Mimi haina haja ya kwenda Bukoba,panda gari ya Bujumbura shika Ngara (kama Taqwa bado zipo)
Nilikaa sehemu moja inaitwa Rulenge ,aisee hiyo sehemu ni nzuri kuliko 70% ya Tanzania hasa kama unap3nda kuishi mjini na kijijini na kwa wakati mmoja,pana maji ya uhakika ,kuna umeme,barabara ipo ya lami na barabara za mtaa ni full moramu inapitika mwaka mzima.Kuna shule ,kuna hospitali nzuri na kubwa na kabisa lina kama zaidi ya miaka 50, mkuu hadi kuna library.
Nimekushtukia mkuuNtapenda tuwasiliane mkuu tutete Nina kitu nataka kukuuliza.
Unataka umjibu AYNtapenda tuwasiliane mkuu tutete Nina kitu nataka kukuuliza.
Doh mambo ya uraia tena nayo yapoILA kuna uwezokano watu wakakushangaa unatoka eneo gani la nchi kwa kuwa unaongea kiswahili lafudhi tofauti na wenyeji,usishangae wakakuambia eneo la nchi unakotoka.Kingine hakikisha una nyaraka za kukutambulisha kuwa wewe ni mtanzania,maana kule ni eneo la mipaka na nchi jirani,maafisa ulinzi na usalama pamoja na uhamiaji wapo macho.