OIL chafu inarudishwa viwandani na kutengeneza diesel kwa ajili ya matumizi ya mitambo kama majenerata makubwa nk. Lakini pia unajua mjini ni mjini kuna wale wanaochezesha na kuuza tena kama oil safiSasa ivi oil chafu imekuwa bidhaa adimu sana hasa huko kwenye garage za Magari, pikipiki, n.k Nataka kufahamu wanaozinunua wanazipeleka wapi?
Asante sana kwa maelezo mazuriOIL chafu inarudishwa viwandani na kutengeneza diesel kwa ajili ya matumizi ya mitambo kama majenerata makubwa nk. Lakini pia unajua mjini ni mjini kuna wale wanaochezesha na kuuza tena kama oil safi