MADIBA MANDELA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 503
- 398
agana na nyonga mkuu huku hapaitaji mbwembwe za inst whatsup wala fb
Mkuu bora ujipange hadi walau 30-33 ili ujitosheleze kwanza.
Siyo unaoa then unaanza kuishi maisha ya kubangaiza.....Kwa sasa nakushauri utafute pesa kwanza ndoa baadae.
Usimshauri mwenzako kuoa kwakufuata instincts zake,subiri apate ushauri wakutosha ili aamue vizuri,hicho kipato anachokipata kwasiku tu,bado kinatia shaka,usitake mwenzako afanye uamuzi wakuoa mwenyewe halafu matatizo aje atatue na watu wake wakaribu au ndugu zake.
Swali la msingiHao ng'ombe huruhusiwi kuwauza mkuu. Kukamua tu.
Elfu 10 ni kubwa. Familia nyingi zinaishi kwa 4000 kwa siku niamini. Atafute mwanamke wa kiwango chake aweke ndani budget watajibana humo humo ndani.
Au JF wote mambo safi nini? Mbona mimi elfu 10 per day pesa ndefu saana hahaha
Acha anasa maisha ni pamoja na kubana matumiziUkiibana kwa siku kuna kias kinachobak kwenye hyo pesa
Kwasababu anataka kujilipua!Twambie kwanini unataka kuoa ?
Wewe oa,ridhki anapanga Mungu na umri wako unatosha kabisa kuwa na mke na kupambana kumtunza,,,kuna watu walijidai hawaoi wanajipanga kimaisha matokeo yake wamefikisha miaka 40 bado hawana maisha yoyote na wanajuta wangeoa hata mapema ili hata kama maisha wangeyakosa ila familia wangekua nayo Oa mapema uzae watoto wako uwalee ukiwa bado una nguvu.All in all muombe Mungu akupe mke mjengaji sio mke mchunaji.Habari zenu mabibi na mabwana,
Ni kijana wenu mwema mwenye umri wa miaka 26.
Kipato changu ni elfu 8 hadi 10 tu kwa siku,
na nimepanga chumba kimoja.
Nimechakata data kichwani,
nikapata wazo la kujilipua kuoa.
Kabla sijaanza mchakato wa kudunduliza mahari,
Nimeona ni vema nije nipate mchango na hekima za wakongwe wa humu juu ya
1.FAIDA
&
2.HASARA
za kujilipua kwenye hiki kitengo.
Oa tu Mkuu, duniani hakuna na hakutakuwa na copy yako, ni wewe tu uko. Kushindwa kwa mtu wa aina yako kwenye hiyo idara ya ndoa kusikuumize akili maana yeye ni maisha yake. Kwa kipato chako kama mpaka baadae hautakuwa na njia mbadala ya kukiongeza ujue tu utakuwa unatafuta kufa mapema, ila kwakuanzia maisha inawezekana
Kikubwa ni huyo utaemwoa ndo ukuwe makini nae usije ukatembea ukiongea mwenyew barabaran.
