As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,544
Oa baba Mke anakuja na Riziki zake Mola wako hatokutupa amini ninacho kwambia!!!!
Unafanya mchezo na ng'ombe 15...? Bei ya Chini ya ngo'mbe ni 500,000/Mkuu nakushauri oa... huku umasaini unakabidhiwa mke ukiwa na miaka 18 na ng'ombe 15. Unajikata.
Oa mkuu . Oa chukua mke.
Mkuu elfu 30 per day kwa bongo ni pesa moja kubwa saana laki 9 aseeh acha utani. Na familia nyingine hiyo laki 9 wanaishia kuiskia tu kwa mwezi.Komaa kwanzaa kipato kifike hata elfu 30 kwa siku.Kulipia kodi,umeme,maji chakula..wife kwenda saloon..kuweka akiba na bajet ya maendeleo kwa kipato icho ni shida.Hakuna haja ya kukimbilia kuoa kwa umri ulionao.
Hao ng'ombe huruhusiwi kuwauza mkuu. Kukamua tu.Unafanya mchezo na ng'ombe 15...? Bei ya Chini ya ngo'mbe ni 500,000/
Sasa piga 500,000 x 15 =7,500,000/=
Huo ni mtaji kabisa....Sasa yeye kasema kwasiku anaingiza 5000 mpaka 10,000/= so lini atamkuta huyo masai..?