Nataka kujilipua kuoa

Nataka kujilipua kuoa

Mkiishi wawili neema ya mungu itakuwa nanyi, mtakuwa kama ndege Wa angani... Wala usijali. Mie niliolewa kienyeji baada ya kupata ujauzito, nakiri kuwa ni neema ya mungu, kwani nilipata kila kitu nilichokitaka!
 
Unaoa kwa sababu ya umri ama fashion?
Unaoa kwa sababu ya kutaka ngono au wivu wa mapenzi?
Unaoa kwa sababu unaweza kujitegemea au kwa sababu unataka watoto?

Unaoa kwa sababi mwanamke anataka umuoe?

Unamuoa mwananmke wa tabia uzipendazo au ilimradi mke.

Kama hizo ndio sababu oga ulale ukue.
 
Niwe mkweli,
Miongoni mwa sababu kubwa ni tamaa ya kupata mtoto katika umri huu,
Nahisi kama umri ukizidi mtoto ataniita babu.
Mwanao utakayepewa na mungu, umpende saaana., atakuwa faraja yenu_yako na kwa Afya yake na kicheko chake mtakula ugali tembele na wali dagaa, mtakaa kwenye mkeka na taa ya sola yote haya yanawezekana mkiwa na upendo mkubwa na mtoto wenu akiwa na Afya njema( namaanisha hana ugonjwa) ni jukumu lako kumuomba mungu akupe mtoto mzuri, mwenye Afya ya akili na mwili. Upange kabisa km ni Wa kiume/kike....
 
Ww oa tuu usitake mawazo ya watu, lililopo kichwani kwako fuata. Faida ni nyingi kuliko hasara, mojawapo utaacha kupiga punyeto, utapikiwa chakula kizuri home, utafuliwa na mengine mengi, mwanamke ua la waridi ndani. Hasara ni pale utakapokosa pesa na mkeo anahitaji pesa ya saloon then atagongwa na mijamaa ili apate, halafu anaweza kupata mimba nje au Std's ikiwemo AIDS. Usiogipe oa tuu dogo.
 
Tatizo sio KUOA...shida ni kujaza kikapu cha msosi tena bora mkiwa wawili je watoto wakija utaweza kuwasomesha,kula, kuishi vyema cause usije waleta duniani wakateseka wakaanza kujilaumu kuja duniani.? Though ukiwa na mipango mizuri waweza kuanzia FROM ZERO TO HERO in Marriage...
 
Elfu Kumi! Chumba Cha kupanga, unataka ukamzeeshe tu mtt wa watu, apo kuna kod ya umeme, maji, chakula, bibie hajavaa apo na mahitaji madogo madogo km sabuni na dawa akiumwa. Ndugu yng jipange kwanza ukioa tu na kuzaa huko na elfu 10 yk utaishia mental kwa stress..
 
unataka kuoa ili upate nyapu ya bure au upate mtoto au ujenge status? Naomba unijibu hayo kwanza
 
Niwe mkweli,
Miongoni mwa sababu kubwa ni tamaa ya kupata mtoto katika umri huu,
Nahisi kama umri ukizidi mtoto ataniita babu.
Kijana kwa gharama za maisha ya sasa jipange kwanza. Kumbuka ukiwa vizuri financial hata ukija kupata mtoto on your 40's atakuheshimu zaidi kuliko kukimbilia kuwa nae saa hivi afu mbeleni mwanao akakudharau kwa kuwa ulikuwa haujajipanga
 
Kijana kwa gharama za maisha ya sasa jipange kwanza. Kumbuka ukiwa vizuri financial hata ukija kupata mtoto on your 40's atakuheshimu zaidi kuliko kukimbilia kuwa nae saa hivi afu mbeleni mwanao akakudharau kwa kuwa ulikuwa haujajipanga
Mkuu umenifanya nijirudi aisee. Na mimi nilikuwa najipanga nioe mwaka huu japo sina mahari ila nilitaka nikusanye kidogo nikajitambulishe na niombe kuishi na huyu mchumba wangu. Mchumba wangu ni mfanyakazi japo kipato ni kidogo na mimi ni mfanyakazi na kipato changu ni kidogo zaidi kutokana na kuchukua mkopo. Sasa hivi nawaza sana nikioa inakuwaje na ugumu huu wa maisha. Miaka yenyewe ndo hii 29.
 
Ni Sawa Umeweka Mkeka Umemuua Juve,Barca,Chelsea,PSG,Bayern,Madrid,Monaco Alafu Wote Wanacheza Nyumbani Na Mid Table Teams...
 
Mkuu umenifanya nijirudi aisee. Na mimi nilikuwa najipanga nioe mwaka huu japo sina mahari ila nilitaka nikusanye kidogo nikajitambulishe na niombe kuishi na huyu mchumba wangu. Mchumba wangu ni mfanyakazi japo kipato ni kidogo na mimi ni mfanyakazi na kipato changu ni kidogo zaidi kutokana na kuchukua mkopo. Sasa hivi nawaza sana nikioa inakuwaje na ugumu huu wa maisha. Miaka yenyewe ndo hii 29.
Ndugu ukishaingia ndani ya ndoa mule unakuwa baba wa family. So ni muhimu kuwa ushajipanga zaidi. Usikubali kupelekeshwa na maneno ya watu kuwa umri wako ni mkubwa watakiwa kuoa sasa. Jiangalie kwanza je, ushajipanga sawa sawa.

Mfano mie ni mkubwa kwako kidogo ila still sijawaza kukimbilia huko na still nimejipa mwaka mzima mwingine niweke mambo yangu sawa hapo ndiyo nioe. Sipendi kuja kumtesa mtoto wa watu.

Siku zote nnajitahidi kupambana ili my unborn children waje kuishi maisha ya unafuu kidogo kuliko niliyoishi mie.
 
Life before wife, tafuta pesa kijana atleast kwa age ya 30+ hv ndo uoe.
 
Well japo kila mmoja ana maamuzi yake
Na maisha siku zoote ni mipango
Na sijui mipango yako
Lakini napenda kukuuliza swali la msingi
1.je Dhumuni halisi na la msingi linalokufanya uoe ni nini
2.je uko tyr kabisa na kwa dhati kuji-commit kwnye marriage
Maana ndugu yangu ndoa si chai useme kila asubuhi utainywa
 
Ila may be sisi wenzetu wa masaki bwana.

Wewe na mwenzio ndiyo mnaijua laki tatu ni kubwa kwao pesa ya Bonga ya week.
Teh kama matawi Basi asubiri akisha fikia matawi.....

Kama Ni wakawaida Basi asukumwe na dhamira yake.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom