Jilipue tu mr. Mim niko nyuma yako ntakusaidiaHabari zenu mabibi na mabwana,
Ni kijana wenu mwema mwenye umri wa miaka 26.
Kipato changu ni elfu 8 hadi 10 tu kwa siku,
na nimepanga chumba kimoja.
Nimechakata data kichwani,
nikapata wazo la kujilipua kuoa.
Kabla sijaanza mchakato wa kudunduliza mahari,
Nimeona ni vema nije nipate mchango na hekima za wakongwe wa humu juu ya
1.FAIDA
&
2.HASARA
za kujilipua kwenye hiki kitengo.
Shida siku hizi wanawake wenyewe mizigo tupu..! Mungu niongoze nimpate mke mwenye hekima...!ila kweli
ooh boss..kwahiyo lile tangazo halijajibu?Shida siku hizi wanawake wenyewe mizigo tupu..! Mungu niongoze nimpate mke mwenye hekima...!
Unataka uapply nini?? Karibu sana .ooh boss..kwahiyo lile tangazo halijajibu?
na mamia ya wanawake waliopo humu umekosa kwel?Unataka uapply nini?? Karibu sana .
Kwanza mkuu nashukuru kwakukiri UNAJILIPUA maanake unachotaka kufanya sio sahihi.watch out!Habari zenu mabibi na mabwana,
Ni kijana wenu mwema mwenye umri wa miaka 26.
Kipato changu ni elfu 8 hadi 10 tu kwa siku,
na nimepanga chumba kimoja.
Nimechakata data kichwani,
nikapata wazo la kujilipua kuoa.
Kabla sijaanza mchakato wa kudunduliza mahari,
Nimeona ni vema nije nipate mchango na hekima za wakongwe wa humu juu ya
1.FAIDA
&
2.HASARA
za kujilipua kwenye hiki kitengo.
Teh....Teh...Teh!! Neema bwaana.Mh! Hapana kwa kwel vumilia at least ifke miaka 30 ndouoe raha ya ndoa uwe umejpanga maswala ya kuoa Leo kesho unaenda kugongea chumvi kwa jiran sikushaur, miaka 26 bado mdogo sana hata misukosuko ya ndoa hutoweza kuimudu
Your deep in shallow water,,,,ww unadhani mwanaume anatakiwa aoe kwasababu ipi??Unaoa kwa sababu ya umri ama fashion?
Unaoa kwa sababu ya kutaka ngono au wivu wa mapenzi?
Unaoa kwa sababu unaweza kujitegemea au kwa sababu unataka watoto?
Unaoa kwa sababi mwanamke anataka umuoe?
Unamuoa mwananmke wa tabia uzipendazo au ilimradi mke.
Kama hizo ndio sababu oga ulale ukue.