Njoo nikufundishe mimi, vipi unataka ya kuendesha maroli na maskania au vinoaha
ila sijui nijifunze automatic au manual...wengi wananishauri nijifunze automatic is easier...na wanawake wengi wanaipenda hii option....whats your input guys...mie sio mjeshi nahisi mambo ya kuingiza gear yatanishinda vile.....
hahahahahah una utani wa ngumi,mascania tena????? kinoah cha kuringishia mashosti...lol
Ni vyema kujifunza aina zote za gear cuz you never know, unaweza ukaidharau manual ukajifunza automatic na ukaja kukutana na gari yenye gear ya manual ikakushinda.
Gari unalo?
hivi hutakiwi kujifunza driving kama hauna gari eeh?
yap, sasa kama gari hana sasa ya kujisumbua? Afu ww niaje huko mpwapwa lol.