Nataka kujenga ghorofa 5, itanigharimu Milioni ngapi?

Nataka kujenga ghorofa 5, itanigharimu Milioni ngapi?

Wewe either utakua very famous kwa response..au unatafuta kiki, au unasifika kwa kuwa active au unataka uadmin, au umri wako mdogo au ujapevuka kimtazamo au thinking capability yako ipo below sub average level au ni mtu mwenye sifa sana au una insecurity issues au very idol au lonely in your heart au sociopath au ulikua abused very young while growing up au single parent raised au kimuonekano sio mzuri ila una hela inayojitahid kukutakatisha au weekend ndo wakat wako waku reply threads ovyo au ni mtu mwenye kipato kidogo afu huna upeo wakutanua wigo wako wa mapato, au dereva mwenye matatizo na mkewe kwasababu ulishawahi kuwa safari wakakumegea na ukajua au una lea motto ambaye most times unakua wahisi sio wako au ulikua unatengwa sana utotoni kutokana na uzembe wako au ulianza ngono mapema sana au muonekano wako kichwa chako ndo outstanding feature which made your a.k.a ndonga au .

well great thing i would care less your opinion...na limejengwa na lina miaka kumi sasa...

hahahahahahahahahahahahahahahahaha
 
Wewe either utakua very famous kwa response..au unatafuta kiki, au unasifika kwa kuwa active au unataka uadmin, au umri wako mdogo au ujapevuka kimtazamo au thinking capability yako ipo below sub average level au ni mtu mwenye sifa sana au una insecurity issues au very idol au lonely in your heart au sociopath au ulikua abused very young while growing up au single parent raised au kimuonekano sio mzuri ila una hela inayojitahid kukutakatisha au weekend ndo wakat wako waku reply threads ovyo au ni mtu mwenye kipato kidogo afu huna upeo wakutanua wigo wako wa mapato, au dereva mwenye matatizo na mkewe kwasababu ulishawahi kuwa safari wakakumegea na ukajua au una lea motto ambaye most times unakua wahisi sio wako au ulikua unatengwa sana utotoni kutokana na uzembe wako au ulianza ngono mapema sana au muonekano wako kichwa chako ndo outstanding feature which made your a.k.a ndonga au .

well great thing i would care less your opinion...na limejengwa na lina miaka kumi sasa...

Hakuna gorofa ya milion 90 labda korido.
 
Wewe either utakua very famous kwa response..au unatafuta kiki, au unasifika kwa kuwa active au unataka uadmin, au umri wako mdogo au ujapevuka kimtazamo au thinking capability yako ipo below sub average level au ni mtu mwenye sifa sana au una insecurity issues au very idol au lonely in your heart au sociopath au ulikua abused very young while growing up au single parent raised au kimuonekano sio mzuri ila una hela inayojitahid kukutakatisha au weekend ndo wakat wako waku reply threads ovyo au ni mtu mwenye kipato kidogo afu huna upeo wakutanua wigo wako wa mapato, au dereva mwenye matatizo na mkewe kwasababu ulishawahi kuwa safari wakakumegea na ukajua au una lea motto ambaye most times unakua wahisi sio wako au ulikua unatengwa sana utotoni kutokana na uzembe wako au ulianza ngono mapema sana au muonekano wako kichwa chako ndo outstanding feature which made your a.k.a ndonga au .

well great thing i would care less your opinion...na limejengwa na lina miaka kumi sasa...

Sasa wewe punguani unalia au manake umetiririka kusimulia historia yako nasimamia hapa huwezi jenga gorofa ikakamilika kwa milioni tisini nandio maana nikasisitiza labda kama unasemea korido tafuta mjenzi makini akokotoe garama zake usipokimbia na kamilioni tisini kako.
 
bado unaitaji kujenga?
kama bado call 0682426975/0654894210
kampuni la china first quaty na bei nafuu sana sana
nipe jibu mapema nikupe invoice
 
Kuweka kumbu kumbu sawa hapa kwa wengine fuateni jedwali lifuatavyo as reference:-

  1. Industrial building ina range 450,000 - 650,000 per sq. m.
  2. Agricultural building/Structure 500,000 - 700,000 per sq. m
  3. Commercial building 700,000 -1,100,000 per sq. m
  4. Residential building ranges from 750,000 -1,000,000 per sq. m
  5. Educational facilities ranges from 500,000 -750,000 per sq. m
  6. Medical & social services building ranges from 850,000 - 1,300,000
  7. Recreational building ranges from 450,000 - 650,000

walau amepata pa kuanzia
 
Bhna ww hzi rates hazitokan na matumiz ya building znatokana na building materials... Kwa mfano building with burnt bricks without plastering ni rates zake ni from 120000 mpka 150000.. Building with burnt bricks cement motor and Plastering rates zake ni Tshs 150000 mpka 200000 pr sqre meter, building wth cement block fair finish ni Tshs 200000 mpka 250000 etc


Hatufanyi ligi,wenye kuelewa nadhani walishaelewa, rate zangu sikuzitoa hewani zipo kwenye nyaraka!
 
Boss ulifikia wapi na huu mradi wako?
 
Kuweka kumbu kumbu sawa hapa kwa wengine fuateni jedwali lifuatavyo as reference:-

  1. Industrial building ina range 450,000 - 650,000 per sq. m.
  2. Agricultural building/Structure 500,000 - 700,000 per sq. m
  3. Commercial building 700,000 -1,100,000 per sq. m
  4. Residential building ranges from 750,000 -1,000,000 per sq. m
  5. Educational facilities ranges from 500,000 -750,000 per sq. m
  6. Medical & social services building ranges from 850,000 - 1,300,000
  7. Recreational building ranges from 450,000 - 650,000
hii ni kwa ghorofa au hata hizi nyumba zetu?
 
Safi
Kuweka kumbu kumbu sawa hapa kwa wengine fuateni jedwali lifuatavyo as reference:-

  1. Industrial building ina range 450,000 - 650,000 per sq. m.
  2. Agricultural building/Structure 500,000 - 700,000 per sq. m
  3. Commercial building 700,000 -1,100,000 per sq. m
  4. Residential building ranges from 750,000 -1,000,000 per sq. m
  5. Educational facilities ranges from 500,000 -750,000 per sq. m
  6. Medical & social services building ranges from 850,000 - 1,300,000
  7. Recreational building ranges from 450,000 - 650,000
 
Back
Top Bottom