Kilio cha hali ngumu ni Tanzania yote. Nchi inauguaWakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..
Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.
Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.
Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingineNafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!
Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.
Ushauri![]()
Tulia hivyo hivyo uchumi wa juu ukukuteTayari
Hao wanawake wanaokuja mara baada ya wewe kuwa na maisha mazuri lazima wakusaliti tu siku ukiishiwa.Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..
Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.
Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.
Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingineNafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!
Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.
Ushauri![]()
proverb 31:Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..
Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.
Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.
Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingineNafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!
Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.
Ushauri![]()
Mjini kuna nafuu mzee, kijijini hayo mambo yamezidiKwaiyo Watu wakihamia mjini..hizi sifa huwa zinabaki na Kijiji?...
Heka kumi za kilimo unazielewa vizur mkuu? na kwa situation yake unasema aanze na kumi??Amka mkuu, Toka huko nenda mkoani hata mpanda au ruvuma Kuna mashamba waweza Kodi Bei ndogo na kulima , anza na ekar kumi za mahindi plus mihogo baada ya miak 1 au 2 endelea kuongeza eneo let say 20 acres fuata protocol zote za kilimo uta win sana maisha achana na hao wanaoishi kwa shemeji zao, mtu ana fikisha 40 yrs hana plot ,shamba kangangania dar huku kijj kwao mashamba yashakua pori kwa kutolimwa. Sad.
ElimuSasa akipata elfu 10 au 15 kwa siku itamsaidia nini? Ataishi kwenye upangaji nyumba 1 watu 15 Hadi 20.. Bafu na choo humo humo, kuoga foleni Kama wanafunz, chumba kimoja godoro,ufagio,besene la kuogea,jiko ,usiku vibaka kila Kona sasa hayo ni maisha gn ? akistuka miaka 45 yrs hana plot , hana shamba , sasa watoto wake atawaridhisha nn ?
Ww inayokuhusu ni hiyo ya moneyMkuu issue sio sex.. issue ni kuwa na mtu wa kuzungumza na kukupa moyo.
acha kumkatisha tamaa unajua maana ya mwanzo mgumu weweSasa akipata elfu 10 au 15 kwa siku itamsaidia nini? Ataishi kwenye upangaji nyumba 1 watu 15 Hadi 20.. Bafu na choo humo humo, kuoga foleni Kama wanafunz, chumba kimoja godoro,ufagio,besene la kuogea,jiko ,usiku vibaka kila Kona sasa hayo ni maisha gn ? akistuka miaka 45 yrs hana plot , hana shamba , sasa watoto wake atawaridhisha nn ?
Nichek 0710364110 uje tufuge nguruwe,kazi yako kulisha na tutagawana faida,nitakupa na pa kulala bossWakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..
Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.
Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.
Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingineNafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!
Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.
Ushauri![]()
Tuko Uchumi wa KatiWakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..
Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.
Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.
Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingineNafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!
Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.
Ushauri![]()
Mwakani 2021 mwezi wa kumi mpaka 12 mungu akitupa uzima ntaandika motivational speechWakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..
Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.
Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.
Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingineNafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!
Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.
Ushauri![]()
Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..
Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.
Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.
Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingineNafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!
Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.
Ushauri![]()