Nataka kuikimbia Dar es salaam

Nataka kuikimbia Dar es salaam

Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..

Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.

Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.

Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingine Nafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!

Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.

Ushauri
Pole sana mkuu,, usikate tamaa..
Na shemej kama anazingua weka kushoto pambania maisha yako mkuu. Hawa viumbe sio. Jichanganye mkuu hutokosa pesa ya kula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwakani 2021 mwezi wa kumi mpaka 12 mungu akitupa uzima ntaandika motivational speech
KWA ajili ya vijana.....

Nimesoma hii habari mpaka nimesisimka najua unayo pitia hakuna mtu anae feel maumivu yako....

Kuna watu hawajawai ku husler kweny MAISHA yao hawata kuelewa

Watu ambao TUMEWAI kupitia maisha ya kupoteza KILA kitu kweny MAISHA.

Napo sema kupoteza KILA kitu kweny MAISHA nadhani mnaweza msinielewe.....

Kuna Vijana wengi wamepotea na kuji ingiza kweny matumizi ya madawa za kulevya na ulevi wa pombe KWA kukosa alternative options...

Nakumbuka ile stage kupata usingizi ikawa imeshindikana nahesabu bati bila kupata usingizi daily night

Na mengi Sana ya ku share na vijana....
Ngoja niishie hapa leo Ila mwakani mungu akitupa uhai ntaandika UP'S and DOWN'S zangu
KWA lengo la huwapa hamasa vijana...


NB.
Najisikia kumsaidia huyu mwenye huu uzi
Na imani siku MOJA ataleta mrejesho chanya humu ndani.

Anicheki DM.
Hongera sana na pole kwa changamoto za maisha. Namuelewa vzr sana hali anayoipitia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..

Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.

Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.

Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingine Nafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!

Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.

Ushauri
Sawa, ukiondoka naomba uniachie namba ya simu ya demu wako tafadhali.
 
Mikoani kupata 5000 tu ujipange..
Acha kuwatisha watu Mkuu mi niko huku mkoani tangu 2016 nishasahau mateso yote ya Dsm. Kifupi ni kwamba kila mtu aende vile nafs yake inavyomtuma ndio maana daily kuna mabasi ynaingiza watu kila mkoa na kuwatoa usitake watu wacentralize sehemu ndogo na wakati dunia ni pana inaonekana wew ni miongon mwa wale wenye uhakika wa mwisho wa mwez hivyo unahofu kwenda nje ya box kisa utapoteza momentum uliyokwishatengeneza finally nawawish all the best wale wanaotaka kujaribu katika mikoa tofaut na waliyoizoea waende tu hata ikibid kisum nairob Kampala na Mombasa we nenda tu wazee wetu walikuwa smart na majasir kuliko kizaz chetu cha kulog in yaan alikuwa akiaga kwamba anaenda kusaka life usitegemee kuwa anaenda kijij cha jirani tu anatokomea kusikojulikana anarud baada ya miaka mitano vijana wa sasa hiv wanahof hata kwenda Moro tu hapo kisa pengne utakuta ana piss mkali hom bas anataka abak anamchunga tuu na mwanamke akikuona sio fighter brooo hakuna rangi utaacha ona!! Decide by yourself trust nobody and the worst thing is to possess a life friend!
 
Acha kuwatisha watu Mkuu mi niko huku mkoani tangu 2016 nishasahau mateso yote ya Dsm. Kifupi ni kwamba kila mtu aende vile nafs yake inavyomtuma ndio maana daily kuna mabasi ynaingiza watu kila mkoa na kuwatoa usitake watu wacentralize sehemu ndogo na wakati dunia ni pana inaonekana wew ni miongon mwa wale wenye uhakika wa mwisho wa mwez hivyo unahofu kwenda nje ya box kisa utapoteza momentum uliyokwishatengeneza finally nawawish all the best wale wanaotaka kujaribu katika mikoa tofaut na waliyoizoea waende tu hata ikibid kisum nairob Kampala na Mombasa we nenda tu wazee wetu walikuwa smart na majasir kuliko kizaz chetu cha kulog in yaan alikuwa akiaga kwamba anaenda kusaka life usitegemee kuwa anaenda kijij cha jirani tu anatokomea kusikojulikana anarud baada ya miaka mitano vijana wa sasa hiv wanahof hata kwenda Moro tu hapo kisa pengne utakuta ana piss mkali hom bas anataka abak anamchunga tuu na mwanamke akikuona sio fighter brooo hakuna rangi utaacha ona!! Decide by yourself trust nobody and the worst thing is to possess a life friend!
Well said, big up kwa maneno swadakta kiongoz.
 
Acha kuwatisha watu Mkuu mi niko huku mkoani tangu 2016 nishasahau mateso yote ya Dsm. Kifupi ni kwamba kila mtu aende vile nafs yake inavyomtuma ndio maana daily kuna mabasi ynaingiza watu kila mkoa na kuwatoa usitake watu wacentralize sehemu ndogo na wakati dunia ni pana inaonekana wew ni miongon mwa wale wenye uhakika wa mwisho wa mwez hivyo unahofu kwenda nje ya box kisa utapoteza momentum uliyokwishatengeneza finally nawawish all the best wale wanaotaka kujaribu katika mikoa tofaut na waliyoizoea waende tu hata ikibid kisum nairob Kampala na Mombasa we nenda tu wazee wetu walikuwa smart na majasir kuliko kizaz chetu cha kulog in yaan alikuwa akiaga kwamba anaenda kusaka life usitegemee kuwa anaenda kijij cha jirani tu anatokomea kusikojulikana anarud baada ya miaka mitano vijana wa sasa hiv wanahof hata kwenda Moro tu hapo kisa pengne utakuta ana piss mkali hom bas anataka abak anamchunga tuu na mwanamke akikuona sio fighter brooo hakuna rangi utaacha ona!! Decide by yourself trust nobody and the worst thing is to possess a life friend!
Mkuu mimi sio mwajiliwa bali ninajishughulisha na kusaka tonge la siku mtaani...Ila ushauli wako ni mzuli sana..
 
Back
Top Bottom