Si kosa kujua mwenendo wa mwenzi wako, uhuru anaoutaka ni wa nini, anataka kuficha nini? haiitaji digrii kujua kuwa mwenzi wako amekuwa mdangaji.Lakini hivi kumfuatilia mwanamke wako ni wivu wa kijinga? Au mwanamke anaetaka uhuru wake sana ni muaminifu kweli? Au mimi ndie nimekosea kumfumania!!
Sasa akipata elfu 10 au 15 kwa siku itamsaidia nini? Ataishi kwenye upangaji nyumba 1 watu 15 Hadi 20.. Bafu na choo humo humo, kuoga foleni Kama wanafunz, chumba kimoja godoro,ufagio,besene la kuogea,jiko ,usiku vibaka kila Kona sasa hayo ni maisha gn ? akistuka miaka 45 yrs hana plot , hana shamba , sasa watoto wake atawaridhisha nn ?Maisha popote ila dsm hela inapatikana ki urahisi zaidi..we komaa tu..badili kitaa kama unaishi tabata hamia mbagara.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
SEMA dar napo tabu ndio hiyoSasa akipata elfu 10 au 15 kwa siku itamsaidia nini? Ataishi kwenye upangaji nyumba 1 watu 15 Hadi 20.. Bafu na choo humo humo, kuoga foleni Kama wanafunz, chumba kimoja godoro,ufagio,besene la kuogea,jiko ,usiku vibaka kila Kona sasa hayo ni maisha gn ? akistuka miaka 45 yrs hana plot , hana shamba , sasa watoto wake atawaridhisha nn ?
Rejea hii post!!!Unapokuwa na mwanamke anaekimbilia kukusaliti ktk nyakati ngumu tambua ulifanya wrong choice, fikikiria namna ya ku-restore maisha yako acha kufikiria mwanamke.
Haisaidii,mwanamke akishaonyesha ni malaya iwe umejua kwa bahati mbaya au ulikusudia haitakiwi wewe kama mwanaume uanze ku-doubt kuhusu hilo.Lakini hivi kumfuatilia mwanamke wako ni wivu wa kijinga? Au mwanamke anaetaka uhuru wake sana ni muaminifu kweli? Au mimi ndie nimekosea kumfumania!!
Mkoani wengi wanaishi maisha mazuri wale wapambanaji unakuta mtu ananyumba, gari zuri syo passo au vits, mashamba, n.k Dar unakuta mzee mzima anaendesha passo, vits, Porter Mara Toyota Diana ukihoji wanasema mafuta ,! Ndugu zangu mlioko dar tokeni huko miaka hairudi nyuma, mtakufa maskini karibu mashambani tulime,.SEMA dar napo tabu ndio hiyo
Mkoa Kama MBEYAA ukiwa unaingiza kila day 15 kwa UHAKIKA,uwe na ninadhamu ya hella na plan ya UHAKIKA unatoa..
DAR SMTYM BASI NI SABABU MZUNGUKO WA PESA NI MKUBWA ILA DAH MAISHA YA HAPO..ten inapotea HUKU unaitazama na hujfanya la maaana
Sasa huko mashambani hata toyo unaweza usimiliki,we unaona vitz au porte ni mchezo?huko vijijini watu wanatamani kumiliki baiskeli ya swala na wanaikosa,huku wanalima na kufuga,ishu si Wapi!! Ni vipi!! Kuna matajiri wa Namtumbo na matajiri wa sinza,hawa ni tofauti japo wote wanaitwa matajiri, kuna matajiri wa masaki na matajiri wa mbagala,usisahau hilo,utajiri ni tofauti kabisa na standard za maisha kiujumla,ukiwa na passo nachingwea vijijini utapigiwa magoti na wananzengo,ukiwa na land cruiser dar hushobokewi hata,ni wewe kujijua unataka nini tu,basiMkoani wengi wanaishi maisha mazuri wale wapambanaji unakuta mtu ananyumba, gari zuri syo passo au vits, mashamba, n.k Dar unakuta mzee mzima anaendesha passo, vits, Porter Mara Toyota Diana ukihoji wanasema mafuta ,! Ndugu zangu mlioko dar tokeni huko miaka hairudi nyuma, mtakufa maskini karibu mashambani tulime,.
Capt una umri gn? Uko kwako au umepanga ? Au unaishi kwa shemeji yako?Sasa huko mashambani hata toyo unaweza usimiliki,we unaona vitz au porte ni mchezo?huko vijijini watu wanatamani kumiliki baiskeli ya swala na wanaikosa,huku wanalima na kufuga,ishu si Wapi!! Ni vipi!! Kuna matajiri wa Namtumbo na matajiri wa sinza,hawa ni tofauti japo wote wanaitwa matajiri, kuna matajiri wa masaki na matajiri wa mbagala,usisahau hilo,utajiri ni tofauti kabisa na standard za maisha kiujumla,ukiwa na passo nachingwea vijijini utapigiwa magoti na wananzengo,ukiwa na land cruiser dar hushobokewi hata,ni wewe kujijua unataka nini tu,basi
SahihiSasa huko mashambani hata toyo unaweza usimiliki,we unaona vitz au porte ni mchezo?huko vijijini watu wanatamani kumiliki baiskeli ya swala na wanaikosa,huku wanalima na kufuga,ishu si Wapi!! Ni vipi!! Kuna matajiri wa Namtumbo na matajiri wa sinza,hawa ni tofauti japo wote wanaitwa matajiri, kuna matajiri wa masaki na matajiri wa mbagala,usisahau hilo,utajiri ni tofauti kabisa na standard za maisha kiujumla,ukiwa na passo nachingwea vijijini utapigiwa magoti na wananzengo,ukiwa na land cruiser dar hushobokewi hata,ni wewe kujijua unataka nini tu,basi