Nataka kuikimbia Dar es salaam

Nataka kuikimbia Dar es salaam

Kwa sasa nakushaur huyo usidili na demu yoyote..ishi kigumu kwanza..kusalitiwa inauma ila ichukue kama motivation mwako..tafuta kaz/dili yoyote yenye kuingiza kpato halali na kukuweka busy kdgo umsahau huyo demu,then mambo yatajipa mbele ya safari. Na kila kitu kitakua okay
 
Nimesikia canada wanahitaji wahamiaji wengi ili kukuza uchumi wao uliokuwa affected na Covid. Jitose uko jamaa
Screenshot_20201108-064644_Google.jpg
 
Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..

Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.

Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.

Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingine Nafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!

Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.

Ushauri
Njoo Moro mwana.
 
Pole Sana..sikushauri uhame dar..pambana na usichague kazi ili mradi iwe ya halali.
 
Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..

Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.

Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.

Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingine Nafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!

Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.

Ushauri
Mikoani kugumu, we baba huko huko Dar!
 
Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..

Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.

Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.

Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingine Nafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!

Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.

Ushauri
Nimesoma hoja yako nimeoma maeneo mawili lakini kabla ya yote kijana pambana maisha sio ya lele mama, ukiuza smart yako utapata mtaji na mpenzi wako utampooza mtaishi poa hilo la kwanza lakini pili mimi ninavyofahamu kwa kidogo tu NSSF hawatoi asilimia 8, bali ni asilimia 33.3 ya ule mshahara wako uliokuwa unalipwa kipindi unasimamishwa kazi, tuchape kazi kulia lia mtandaoni hakusaidii, unapata pole tu.
 
Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..

Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.

Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.

Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingine Nafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!

Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.

Ushauri
Nenda kwa Bulldozer Boniface Mwamposa ukakanyage mafuta utafunguliwa.Mambo yako yatarudi kuwa barabara
 
Mkoani wengi wanaishi maisha mazuri wale wapambanaji unakuta mtu ananyumba, gari zuri syo passo au vits, mashamba, n.k Dar unakuta mzee mzima anaendesha passo, vits, Porter Mara Toyota Diana ukihoji wanasema mafuta ,! Ndugu zangu mlioko dar tokeni huko miaka hairudi nyuma, mtakufa maskini karibu mashambani tulime,.
So mikoani watu wanamiliki magari,majumba na mashamba tu,hiyo itakua mikoani ya jf..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..

Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.

Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.

Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingine Nafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!

Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.

Ushauri
Pole sana mkuu. Unaendaga kanisani/msikitini?
 
una Option Mbili...Kubaki upigane! Au uondoke na ukapigane..!

Ukibaki Dar utapata hela mapema, tofauti na ukiondoka Dar.

Ukienda Mkoani, uwe na discpline ya matumizi ya hela mno ndo upate hela..otherwise ndo unapoteza kabisa..!

ushauri; Baki Dar, Hama mtaa unapokaa! badilisha njia unazotafutia kazi,na bafilisha aina ya kazi unayotafuta hapa dar!

Wanawake Dar ni wengi na hutawamaliza...! na pesa za Dar ni nyingi ni ww tu kuchagua njia ya kuzipata ambazo zipo nyingi...!

usikubali...Kukata....Tamaa ...Kamwe....

Safari ya mapambano ndo inaanza kaza buti mwanaume....!
Asante maishapopote
 
Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana hapa jiji la Dar es salaam.. Tangu nipoteze kazi sababu ya corona imepita miezi 6 sasa sijapata shughuli ya kuniingizia kipato.. Maisha ya wazazi ni duni nimegoma kurudi nyumbani japokuwa ni hapa hapa Dar es salaam, naona ni udhaifu sana..

Maisha hayaendi kabisa!! Nimekuwa nikisubiri fao langu la NSSF ili nifanye kabiashara lakini taarifa nilizopata hawatoi Fao lote.. wanatoa asilimia (8)% tu.

Siwezi kufanya chochote kwa hiyo amount km itakuwa ivyo.. Nimechoka sana very desperate!! Na mpenzi wangu hatuelewani kabisa nadhani sababu ya kukosa kazi na hivi juzi nimehisi amenisaliti.. Nimeumia sana.

Natamani kutoka Dar es salaam nikatafute Maisha mkoa mwingine, au hata nchi nyingine Nafikiria kuuza vitu vya ghetto niondoke tu!!

Sitamani kuendelea kuwa hapa Dar nachanganyikiwa kila kitu hakiendi.

Ushauri
Pole sana mdau...
Nenda serikali ya mtaa wakupe barua za kukutambua....then futa utaratibu ukapate kibanda cha nje pale Stendi mpya Mbezi Loius....hizo pesa ukiuza hivyo vitu unaweza fanya kitu anza na kidogo ulicho nacho then wadau wanaweza kukusaidia kadri ya uwezo wao....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom