Nataka kufuga ndege tausi

Labda alijua ni kama wale kuku broiler... inataga tu baada ya kula without kupandwa
 
Hii sio ile mambo ya kitoto kuweka unyoya wa tausi katikati ya daftari na kuweka maganda ya pensil baada ya kuchonga.
 
Wapo viumbe hai (wanyama) walioumbwa kipekee na hawajamiiani kama njia ya kudumisha uzao. Wanyama (viumbe) wa namna hiyo hawakuumbwa jike na dume bali wameumbwa wa aina moja mwenye mbegu za kike na kiume. Sivyo walivyo tausi. Hawa wameumbwa dume na jike. Tausi dume kwa kiingereza anaitwa "Peacock" na tausi jike kiingereza anaitwa "Peafowl".

Tausi dume mara nyingi ndiye aliyekivutio kikubwa kwa wanadamu hasa kwa uwezo wake wa kutandaza manyoya yake ya mkia ambayo ni marefu na yana michoro ya rangi nzuri mno, nichoro ambayo binadamu wameiiga mara nyingi katika mavazi hasa ya akima dada/mama. Tausi huyu dume hutandaza manyoya yake kwa sababu kabla ya kupandana lazima tausi "wachezo ngoma", au kwa maneno mengi wanafanya vitendo ambavyo vimeitwa na wanadamu "Peacock mating dance", na shughuli hii hasa hufanywa na tausi dume kuwavutia/kuwaita majike ili wapandane. Tukio hili la dume kuwaita majike ili awapande kwa hakika ni kivutio kikubwa mno kwa wanadamu na kwa kweli uzuri na umuhimu wa kufuga tausi uko katika umbo analoonekana nalo tausi dume wakati huo. Hata lile umbo la tausi wakiwa katika tendo la kupandana ni kivutio kikubwa kwa watazamaji. Fuata link hiyo hapo chini uone tausi wakipandana.

Peacocks mating - YouTube

Nishukuru kwa majibu yako ya kina lakini hata hvyo wa kike anaitwa peahen
 
Heshima na utii mbele kwenu wakuu,,,,, kuna mabishano yalikuwepo kati yetu ya kuwa eti ndege aina ya tausi huwa hawana kabisa ile kujamiiana kwenye uzao wao, ndipo kwa kujua jamii forum ndio mwisho wa ubishi nikaona nilete hili suala mbele yenu kwa ufafanuzi zaidi. Kwenu waungwana

Ni kweli kabisa. Ni kama vile ambavyo Albino huwa hawafi bali hupotea tu. JUST KIDDING! HA! HA! HA!
 
Sitaki kukujibu vibaya mdogo wangu, nikushauri tu kuwa kama umesoma sayansi ya viumbe hai huwezi kuwa na wazo kama hilo ulilokuja nalo. Ni hayo tu, hao walokujibu vibaya ni kuwa wameshindwa kuzuia hisia zao!!! Mshomba
 
Last edited by a moderator:
nimekuja mbiombio nikajua labda unao unawauza maana nawatafuta sana hao ndege!

Tukirudi kwenye maada' ulikuwa unabishana na mtu wa namna gani na mlikuwa wapi? maana unaweza kuta mlikuwa mnakunywa ulanzi au mbege ndo mnabishana. maana hayo majibu mliopeana daa! nisawasawa nakusema paka hawapandani kisa haujawahi kuwaona wakifanya hivyo.

Mkuu kama hao ndege wanaendelea kuonekana hapa duniani basi ujue wanazaliana.Hakuna haja ya kubishana.
 
Habari wadau,
Ninatafuta tausi na ndege wengine wasiopaa kwa ajili ya kufuga kama urembo. Je nitapata wapi kwa bongo?
 
Nani kasema??? Labda kama,utawafuka kibongo bongo ila kama utafuatilia na kupata kibari hakuna hata mtu mmoja atakaye kupa shida

Wewe tafuta kibari na ukipata funga upige pesa kwa uraini
 
Habari wadau,
Ninatafuta tausi na ndege wengine wasiopaa kwa ajili ya kufuga kama urembo. Je nitapata wapi kwa bongo?

Tausi kumpata kwa bongo ni ngumu kwa sababu hawapatikani kokote sio asili yao hapa. Tausi unaowaona mitaa ya magogoni mpaka makumbusho ya taifa tulipewa kama presidential gift nadhani from india. Hivyo ukikutwa na tausi kibongo bongo utatuhumiwa kuiba zawadi ya rais. Teeheeeheee! Lakini kama una mshiko unaweza kuagiza wanyama toka nje ya nchi kwa kufuata taratibu husika za nchi mfano dar zoo wana baadhi ya specie za nje kama nyani wa india na water buffalos.
 
Juzi mikutano ya ccm ilihudhuriwa na Fisi, pengine ukicheki na mtu wa ccm awezakusaidia
 
Back
Top Bottom