Pinda Nhenagula
Member
- Jan 26, 2019
- 67
- 86
Habari wanajukwaa,
Dhumuni langu kubwa la kuporomosha uzi huu ni kuomba au kuwataka wale magwiji au wazoefu wa mambo ya migodini (kununua na kuuza pia na kusimamia karasha ili kuzalisha pesa kwa wingi).
Jamani mimi nimepelekwa mgodini na mzee wangu kusimamia karasha la kusagia mawe ya dhahabu na hapa sina uzoefu wa ujuzi maana yake sijui chochote kabisa.
Kwahiyo nawaombeni wale wazoefu waje wanipatie mwongozo mzima jinsi gani naweza kuendesha huu mradi wa baba ili ni lete heshima na kuipigania kuingiza pesa ya kutosha.
Nimefika leo 20/09/2023 Buzwagi ndogo. Igunga
Dhumuni langu kubwa la kuporomosha uzi huu ni kuomba au kuwataka wale magwiji au wazoefu wa mambo ya migodini (kununua na kuuza pia na kusimamia karasha ili kuzalisha pesa kwa wingi).
Jamani mimi nimepelekwa mgodini na mzee wangu kusimamia karasha la kusagia mawe ya dhahabu na hapa sina uzoefu wa ujuzi maana yake sijui chochote kabisa.
Kwahiyo nawaombeni wale wazoefu waje wanipatie mwongozo mzima jinsi gani naweza kuendesha huu mradi wa baba ili ni lete heshima na kuipigania kuingiza pesa ya kutosha.
Nimefika leo 20/09/2023 Buzwagi ndogo. Igunga